Swali ni je! wakiwa waalimu na kupelekwa mashulen wanafunzi watapona?
Umeshachapiwa mkuu.
Hahaaa chezea walimu weye....hata chuoni kwetu walimu ndio walikuwa wanaongoza kubeba mimba....!
I stand to be corrected
Chaki huwasha ukeni sana....siyo ukata wa maishaKuzingatia na habari yeyewe yote hayo chanzo ni ugumu wa maisha. sasa hao wa kiume wao hawana ugumu wa maisha au