MLALUKO JR
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 962
- 305
UzinZ sawa umeonesha. Ulevi na disco vipo wapi kwnye huo mchoro wako!? Upo chuo gani?
Saizi vip hufii diniNlikua mfia dini, maana "nilitumwa na kijiji"
Nikijibu ntatoka nje ya madaSaizi vip hufii dini
Sijawahi kuwa mchoraji.Hiyo picha imetoka Udom niliipta kwa whatsappUzinZ sawa umeonesha. Ulevi na disco vipo wapi kwnye huo mchoro wako!? Upo chuo gani?
Mm c mchoraji Abadani!!Hongera kwa mchoro mi nimegundua ulitaka kutuambia we ni mchoraji
Ni kweli Mimi nimewasilisha mada jukwaani tuNi overgeneralisation tu kama MTU mhuni ni mhuni tu haijalishi yuko wapi chuo,chimbo la madini msibani nk
Mimi si mchoraji,nimeipata sehemu.Ila ujumbe nmefikisha Mimi!Tutakutafuta kwa ajili ya katuni kwenye gazeti letu
Sijawahi kufanya mchezo huo.Nilipo mimi sijawahi kushuhudia upuuzi huo,ht roomMate ananifahamu hawez kufny upuuzi huo mbele yanguJe weye ndo huyo hapo chini au?? Siku huyo wa juu akileta nawe utakuwaje maana yaonesha wa juu alibaki kuangalia pornooo. Kweli utoto raha mpaka baasi. Ulienda kutafuta anasa au ilim??