Mwangaza
Senior Member
- Feb 26, 2008
- 198
- 64
Habari za uhakika tulizozipata usiku wa kuamkia leo ni kwamba wanachuo wa chuo cha ustawi wa jamii kijitonyama wamefanikiwa kumngoa mkuu wa chuo hicho.
Mkuu huyo aliyekuwa na kashfa mbali mbali ikiwepo kutumia madaraka yake vibaya, kutumia pesa vibaya,kuendeleza ukabila (uhaya)chuoni nk. kulikosababisha migomo mara kwa mara chuoni hapo, ameondolewa kwa shinikizo kali kutoka serikali ya wanafunzi chuoni hapo.
Mkataba wa mkuu huyo ulikuwa unaisha 2/2/2011 na alikuwa anatarajia kuu-renew tena lkn serikali ya wanafunzi ilimkomalia na kusitisha uwezo wake wa kurenew.
Kuanzia leo asb chuo hicho kitakuwa kinaongozwa na makamu mkuu wa chuo mpaka mkuu mpya atakapo patikana.
HONGERENI WANACHUO WA USTAWI.
Mkuu huyo aliyekuwa na kashfa mbali mbali ikiwepo kutumia madaraka yake vibaya, kutumia pesa vibaya,kuendeleza ukabila (uhaya)chuoni nk. kulikosababisha migomo mara kwa mara chuoni hapo, ameondolewa kwa shinikizo kali kutoka serikali ya wanafunzi chuoni hapo.
Mkataba wa mkuu huyo ulikuwa unaisha 2/2/2011 na alikuwa anatarajia kuu-renew tena lkn serikali ya wanafunzi ilimkomalia na kusitisha uwezo wake wa kurenew.
Kuanzia leo asb chuo hicho kitakuwa kinaongozwa na makamu mkuu wa chuo mpaka mkuu mpya atakapo patikana.
HONGERENI WANACHUO WA USTAWI.