Muce
Senior Member
- Dec 19, 2011
- 116
- 14
Baada ya matukio ya watu kupingwa na kunyang'anywa mali zao kama simu na pesa na vibaka, wanachuo wa chuo hicho wanaoishi nje ya chuo wameanzisha operation za kuwasaka vibaka hao, Kwa taarifa nilizozipata kwa mmoja wa viongozi wa wanachuo hao wanaokaa nje ya chuo kuwa opration iliyofanyika jana usiku imefanikiwa kuwanasa baadhi ya vibaka hao na kuwasulubu vilivyo. Hata hivyo amesema operation hii itakuwa endelevu ili kumaliza kabisa matukio ya uporaji.