Vyuo vyote dar es salaam bado atujaandikishwa na ndo zimebaki siku kadhaa wengine tunafunga tunakoelekea wameshamaliza kuandikishwa sasa inamaana kwetu sisi ndo imetoka hivyo?
Vyuo vyote dar es salaam bado atujaandikishwa na ndo zimebaki siku kadhaa wengine tunafunga tunakoelekea wameshamaliza kuandikishwa sasa inamaana kwetu sisi ndo imetoka hivyo?
Ngoja tufunge tukahimize kupiga kura kwa wale waliojiandikisha,Nadhani hata hii itakuwa imesaidia japo haitaondo ukweli kwamba Haki ya mwanachuo ya kupga kura imeminywa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.