Wanachuo 300 wajiunga CHADEMA

kwa mbali naanza kumwona Mar.Baba wa taifa (J.K.N) akinyoosha vidole viwili juu ...kikubwa anafurahia utabiri wake kwa CDM..

Please Chadema take this,Tabora (Sikonge) ilikuwa ngome ya Cuf ila mara hii wameprove hawana tena chao,imebaki vacuum ya kisiasi make hata mbunge wa leo S.N hapendeki wala hana support yoyote ile...CDM come on, wellcome Sikonge
 
Njooni na Sikonge(Tabora) watu ni wengi hawana uongozi wa uhakika wanaisubiri CDM ..njooni haraka sana
 
kwa mbali naanza kumwona Mar.Baba wa taifa (J.K.N) akinyoosha vidole viwili juu ...kikubwa anafurahia utabiri wake kwa CDM..

Please Chadema take this,Tabora (Sikonge) ilikuwa ngome ya Cuf ila mara hii wameprove hawana tena chao,imebaki vacuum ya kisiasi make hata mbunge wa leo S.N hapendeki wala hana support yoyote ile...CDM come on, wellcome Sikonge
 
mbona hao ni wachache? Ukweli sifurahishwi na kasi ya chadema ktk kupata wanachama wapya, watu walijirejista online hawakupata majibu, hapa chuo 90% ni wapenz wa chadema ila bado si wanachama, nashauri waongeze bidii.
 
mwandishi ulikosea kuweka mwenyekiti badala ya katibu.... ila wote ni makamanda harakati zinaendelea tunampango wa kufungua pale kihonda morogoro tawi la chama, ni harakati mpaka kieleweke
 
hizo ndizo picha wakati wanachuo wakipokea kadi za uanachama toka kwa kamanda LEMA, HUKOOOOOO LOSHOTO
 
ebu cheki hayo majina yenye nyekundu,hivi viongozi wa chadema lazima wawe watu wa maeneo yenye majina hayo! yani hapo chadema ndo inapoharibu na hicho ndo kitawamaliza kabisa! anyway hongereni pia kwa kupata watoto 300 maana kwenye hicho chuo kuna wanachuo zaidi ya elfu so kupata watoto 300 si haba!
 
Kazi nzuri.....kila mtanzania mwenye nia njema sharti ahunge mkono mbio hizi......
 
Dah!! mkuu acha uwoga bana!!Ukizitambua haki zako utaweza kuzitetea so kitu wanacho fanya CHADEMA ni kumfanya kila mwananchi aujue wajibu na haki anazo stahili.
Inasaidia nini kupata elimu kwenye mazingira yanayo zidumaza fikra zako? Halafu isifikie hatua tukazifundisha akili kuzoea mazingira dumavu kwa kiwango hiki.
Hii ni Nchi yetu sote na naamini hawana kiburi cha kutuburuza kama wanabisha ngoja tungundue huo mpango mfu wao ..we c uliona ule mtiti wa kule Kanda ya ziwa?Waache tu wabeep waone niaje inakua watu kitaa washajimwagia PETROL cheche kidogo tu inatosha kuihamishia Libya hapa.

Bravo Lema tupo pamoja mwanzo mwisho.
 
Wasisahau kuhamasisha wanawake pia au vijana wa kike
 
Safi sana CHADEMA kwa kazi mnayoifanya,mpaka tunafika 2015 kwenye uchaguzi ujao tunaizika CCM.
 
Dr. Slaa is a gift from god to tanzania,chadema and other high rank members are blessedreminds me of mosses of the islaelits in exodus
jk,lwsa,ra are devilsreminds me of faraos in exodus

always god wins and the hg awaits jk
 
Nani kasema CDM haiwezi kuongoza nchi??? Hapo tayari kuna wakuu wa wilaya wa kutosha, wakurugenzi wa halmashauri na maafisa wengine kibao wa kuwa replace hawa waliopo saizi wenye mtizamo wa kifisadi. Mabadiliko ya kweli Tanzania yanawezekana na yataletwa na wasomi kama hawa waliojiunga na CDM
 


Nice Job...nice focus....GOD BLESS CDM,...GOD bless all the CDMs flock...God bless Godbless Lema, the Arusha MP! Tupo pamoja na pamoja tutafika...Lazima akili zote za kizazi kipya zijengwe ndani ya dira na ukweli ktk ukombozi wa taifa hili lililotekwa na wezi na mafisadi na utawala uliooza.

Focus ya CHAMA iende hadi ktk wale walioko masekondarini yote Mikoa yote na hasa wanaoelekea kumaliza na hata waliomaliza FormIV na wanaoelekea FormVI (those between 15 years to 20 years, ambao ndio future strong members and voters). Vijana hao lazima wapate nao dira sahihi pasipo kuchelewa maana, tukumbuke ndio wao kati yao hasa wamekumbana na uozo wa CCM na sera zake mbovu zilizofanya karibu asilimia 85 ya wanafunzi wa FormIV kufeli vibaya. Ndani ya CDM hakuna sera mbovu na hakutakaa kuwe na uongozi uliooza hivyo ambao unaangamiza akili na future ya vijana wa taifa hili.

Investment on youth is an absolute assurance of strong party, strong future, focus and lenient leadership. That is the future of CDM...keep it running....speedy! WITH PEOPLE'S POWERS....YES WE CAN...!!!
 
iMEKAA VZRI MNOOOOO!!
Popote pale duniani mabadiliko huletwa na wasomi. Mapinduzi ya TZ yataletwa na wasomi kama watamua kujitenga na CCM.
Vijana walioko vyuo vikuu wakiungana kwa pamoja mapinduzi ya kweli yatapatikana.
 


My comments are withheld. However it is not too late ------ get down there! Secondary students mostly have attained voting age. Go go go with the same zeal used for higher learning institutions.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…