Wanachonikera Futuhi na Ze Komedi

Wanachonikera Futuhi na Ze Komedi

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,447
Reaction score
10,785
FUTUHI
Ni kundi la komedi Star TV! Binafsi vichekesho vyao vng havichekeshi ata! Kidoogo yule muha anajitahidi na Okechi, wengine naona kama wanalazimisha sana!
Kinachonikera zaidi karibu kila habari/kisa lazima wapigane! Inamaana kufikiria kwao kumeishia hapo?

Ze Comedy
Hawa ni wachekeshaji EATV
Hawa ndo kabisaa waboaji. Kinachonikera kwao ni yale mavazi yao ya hovyo hovyoo. Labda watoto ndo watacheka. Mara mamiwani ya hovyo kama matoy! Mmmh, Komed za Tz bado!
Komedi za Tz naona kama bado. Makundi yetu ya komedi yanazidiwa na wakenya na waganda kama Eric Omondi na Kansiime ambao mara nyingi husimama alone!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Ze Comedy
Ni kundi la komedi Star TV! Binafsi vichekesho vyao vng havichekeshi ata! Kidoogo yule muha anajitahidi na Okechi, wengine naona kama wanalazimisha sana!
Kinachonikera zaidi karibu kila habari/kisa lazima wapigane! Inamaana kufikiria kwao kumeishia hapo?

Ze Comedy
Hawa ni wachekeshaji EATV
Hawa ndo kabisaa waboaji. Kinachonikera kwao ni yale mavazi yao ya hovyo hovyoo. Labda watoto ndo watacheka. Mara mamiwani ya hovyo kama matoy! Mmmh, Komed za Tz bado!
Komedi za Tz naona kama bado. Makundi yetu ya komedi yanazidiwa na wakenya na waganda kama Eric Omondi na Kansiime ambao mara nyingi husimama alone!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
unapoteza muda wako kujadili watu wapo kazini wanaingiza pesa kila siku kama wewe hujapenda komedi yao andaa kikundi wewe na familia yenu mchekesha tuwaone kama wewe unaona ni kazi rahisi.
 
hata huwa hazichekeshi,yaan ni full miharisho,akina Mkandamizaji walijitahidi enzi zile wakiwa eatv,sasa hivi ni hovyo kbs;
mi cku hizi naangaliaga cd km.In'ye,i'nye ndembendembe,pedeshee,etc.
 
Mahouse girl na mahouse boy utawajua tu
 
hata huwa hazichekeshi,yaan ni full miharisho,akina Mkandamizaji walijitahidi enzi zile wakiwa eatv,sasa hivi ni hovyo kbs;
mi cku hizi naangaliaga cd km.In'ye,i'nye ndembendembe,pedeshee,etc.

Sasa wewe ndo umeaharibu kabisa hizo za kwenye cd ndiyo ovyo kabisa
 
Ze Comedy
Ni kundi la komedi Star TV! Binafsi vichekesho vyao vng havichekeshi ata! Kidoogo yule muha anajitahidi na Okechi, wengine naona kama wanalazimisha sana!
Kinachonikera zaidi karibu kila habari/kisa lazima wapigane! Inamaana kufikiria kwao kumeishia hapo?

Ze Comedy
Hawa ni wachekeshaji EATV
Hawa ndo kabisaa waboaji. Kinachonikera kwao ni yale mavazi yao ya hovyo hovyoo. Labda watoto ndo watacheka. Mara mamiwani ya hovyo kama matoy! Mmmh, Komed za Tz bado!
Komedi za Tz naona kama bado. Makundi yetu ya komedi yanazidiwa na wakenya na waganda kama Eric Omondi na Kansiime ambao mara nyingi husimama alone!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

We unachuk2 cukachekeshe wewe!
 
futuhi ni uchafu,tangu lini msukuma akachekesha mtu!
 
Wengine kutizama vichekesho sio fani zenu jaman. Ninyi endeleeni kutazamana tamthilia za telemundo itv na capital tv, vichekesho tuachieni sisi!
 
Wivu mbaya!!
Nafikiri hana wivu wowote kama kuna mapungufu kayasema na wasanii wetu wajitahidi,Yes kuna watu wapo TZ wanafanya vizuri ila kama mtu akikwambia ubunifu umepungua anakuamsha uzidi kubuni zaidi..kwangu mimi naona yuko sawa tu..kwangu mie napenda comedy zote FUTUHI,KANJANJA TIME,CHURCHIL LIVE, ERICK OMONDI, KANSIIME ANNE hata Zekomedy wapo smart ila kuna baadhi ya Episodes zinakuwa shallow hata kansiime mwenyewe kuna kipindi anakuwa hayuko sawa sana...ni mtazamo wake na huu ni wa kwangu tu...Amani zaidi
 
nikimuangalia mr bean naona hawa wengine wanauza sura tu kiufupi nilacha kuangalia movie za kibongo baada ya kifo cha kanumba
 
Back
Top Bottom