Wanachonikera Futuhi na Ze Komedi

Wanachonikera Futuhi na Ze Komedi

Futuhi wa ukweli ni wale wa mwanzo waliohamia tbc2, akina babu mkombe.
 
Baada Ya kujivunia na waigizaji wetu TZ mnawasifia waingizaji wa nje...ona aibu jmn wtzd...
 
Nafikiri hana wivu wowote kama kuna mapungufu kayasema na wasanii wetu wajitahidi,Yes kuna watu wapo TZ wanafanya vizuri ila kama mtu akikwambia ubunifu umepungua anakuamsha uzidi kubuni zaidi..kwangu mimi naona yuko sawa tu..kwangu mie napenda comedy zote FUTUHI,KANJANJA TIME,CHURCHIL LIVE, ERICK OMONDI, KANSIIME ANNE hata Zekomedy wapo smart ila kuna baadhi ya Episodes zinakuwa shallow hata kansiime mwenyewe kuna kipindi anakuwa hayuko sawa sana...ni mtazamo wake na huu ni wa kwangu tu...Amani zaidi

............inaongoza EAST AFRICA
 
kiukweli ni zamani sana nimeacha kuangalia comedy za nyumbani. sababu moja kubwa hawa comedians wengi wao hawafikirii nje ya box. comedy zao nyingi ni zile za kusoma habari na mara nyingine hizo taarifa wanazosoma ni matukio yaliyotokea sasa nashindwa watu wazima watasubiriaje habari za wiki wafanyie ucheshi. mara nyingi natumiaga youtube naangalia vipindi kama hanging with mr cooper, fresh prince, little miss joycelyn na vingine vingi nnavyokutana navyo huko. comedy za bongo zinasafari ndefu sana
 
COMEDY group Bongo iliyokuwa inanifanya niache kazi zangu na kuiangalia ni Ze Komedy ya kina Masanja kipindi wako EATV, n MIZENGWE wanafuatia. Hao Futuhi na Ze Komedi ya kina Bambo hawanichekeshi kabisa. Kuna kundi lilikuwa linakuja vizuri 'VITUKO SHOW' ya kina Majuto, Shallo Millionea, Mwita Maranya, Onyango, Kitale, etc sijui kilitokea nini likavurugika
 
Ze Comedy
Ni kundi la komedi Star TV! Binafsi vichekesho vyao vng havichekeshi ata! Kidoogo yule muha anajitahidi na Okechi, wengine naona kama wanalazimisha sana!
Kinachonikera zaidi karibu kila habari/kisa lazima wapigane! Inamaana kufikiria kwao kumeishia hapo?

Ze Comedy
Hawa ni wachekeshaji EATV
Hawa ndo kabisaa waboaji. Kinachonikera kwao ni yale mavazi yao ya hovyo hovyoo. Labda watoto ndo watacheka. Mara mamiwani ya hovyo kama matoy! Mmmh, Komed za Tz bado!
Komedi za Tz naona kama bado. Makundi yetu ya komedi yanazidiwa na wakenya na waganda kama Eric Omondi na Kansiime ambao mara nyingi husimama alone!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Uko sahihi kabisa mheshimiwa! Maonesho ya Futuhi ya star tv kwa mtazamo wangu ni kwa ajili ya watoto na si watu wazima. Mtu mzima mwenye akili timamu hawezi kuchekeshwa na mtu anayemkata mtama mtu mwingine au kumtishia kumzaba kibao. Kupigana, kuzozana, ndio visa vikuu vya futuhi na kwa ajili hiyo visa hivi huwavutia zaidi watoto.
Futuhi ni komedi ya daraja la chini sana na nikimwona mtu mzima akivutiwa nayo namtazama kuanzia utosini mpaka kisiginoni.
Ze Komedi tatizo lao ni kuishiwa ubunifu! Hawanivutii hata chembe.Kila nikiwakuta nabadili chaneli.
 
futuhi inabebwa na brother k,wengne wanalazimisha hasa yule mhaya ndo hana kitu kabisa
 
vituko show was good show lakn jcho la tatu la kng majuto na sharomlionea lilvuruga kund.wao walihtaj kupata mafankio ya pesa s jina wala kutumiwa.
 
Wasanii wetu wanafkr kuvaa vituko ndiko kuchekesha, hv nani anamjua yule mchekeshaji wa nigeria yule Mr.Ibu? anavaa kikawaida ila matendo yake ndio yatakuicha huna mbavu! ila kwa hapa bongo mizengwe ni funika mbovu namshauri zembwela arudi kule.. Zembwela yuko njema sana kwenye hii fani
 
Ze Comedy
Ni kundi la komedi Star TV! Binafsi vichekesho vyao vng havichekeshi ata! Kidoogo yule muha anajitahidi na Okechi, wengine naona kama wanalazimisha sana!
Kinachonikera zaidi karibu kila habari/kisa lazima wapigane! Inamaana kufikiria kwao kumeishia hapo?

Ze Comedy
Hawa ni wachekeshaji EATV
Hawa ndo kabisaa waboaji. Kinachonikera kwao ni yale mavazi yao ya hovyo hovyoo. Labda watoto ndo watacheka. Mara mamiwani ya hovyo kama matoy! Mmmh, Komed za Tz bado!
Komedi za Tz naona kama bado. Makundi yetu ya komedi yanazidiwa na wakenya na waganda kama Eric Omondi na Kansiime ambao mara nyingi husimama alone!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums

Mbona Mr. Bean anapiga suti na anachekesha hadi mbavu hatuna
 
Back
Top Bottom