Wanachofanyiwa wamasai siyo sawa

Wanachofanyiwa wamasai siyo sawa

Innocent Kirumbuyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
4,642
Reaction score
4,476
Juzi niliona video wamasai wakizozana na watu wanaosemekana ni polisi huko Zanzibar mwisho wa siku ilitokea kutokuelewana wakaanza kushambuliana

Baada ya ile video viongozi wakachukuwa hatua

Hapo ndio inadhiirisha tunaongoza na viongoz wenye akili ndogo na mihemko mingi wakurupukaji

Ukiangalia ile video kwa makini siyo wamasai tu wanamakosa ata wale polisi wanamakosa lakini wanaochukuliwa hatua ni wamasai tu hiyo si sawa

Na kitu kingine lile tukio limefanywa na wamasai wachache tu uwezi kutoa adhabu kwa masai wote kuwanyanganya fimbo zao zinazowakilisha utamaduni wao

Na kitu kingine wapo watu walishafanya mauaji na bunduki mapanga sijawai kuona viongozi wamenyanganya watu wote bunduki au mapanga kwasababu kuna watu walichinja watu au kupiga watu risasi

Sasa huyu kiongozi mbona anataka kutoa adhabu kwa wamasai wote kwasababu ya kosa la kawaida la watu wachache

Ata wale polisi nao wachukuliwe hatua nao waliwashambulia wamasai ili haki iwe sawa .
 
Hio ni proof nyingine kwamba Tz hakuna viongozi bali ni wahuni flani waliobahatika kuwa viongozi, si unaona walichofanya
 
Back
Top Bottom