Umeshapanic tayari utafikiri umeguswa kalio au bwana wako?Tema mate chini usimcheze Mungu Wewe ninani mpaka uwadhihaki wenzio?
CCM ipi hairidhishwi? ya kina NAPE and Polepole?Mambo yatasawazishwa, na tutasonga mbele tu.
Hata CCM hairidhishwi na hali hii.
Sasa kama wewe unasema hivyo, imekuawje Waziri wako wa TAMISEMI, Suleiman Jafo, alazimishe kuwa majina yote yaliyokatwa yanerejeshwa, na hakuna chama kutamka kuwa wamejitoa??SIO LAZIMA KLA CHAMA KISHIRIKI UCHAGUZI.
Vilivyojitoa viachwe na vilivyobaki vindelee na uchaguzi.
Baada ya miaka mingapi?? basi sawa kama unaongelea miaka 40 ijayoHata Mugabe enzi zake alijidanganya hivyo hivyo kuwa amewaweka watu wake kwenye hayo majeshi, lakini ikafika wakati wakamgeuka na kumwambia Mzee tuondokee na tuachie Ikulu yetu na Mzee Mugabe akatii!
Nyie ndio misukule yani mpompo tu aujui hata kwa nini unaishi,pumbav.Achana na mambo ambayo hayaondoi njaa yako wala kukupa shibe. You can’t change the world
Labda sumu imeanza kufanya kazi!Ccm wamekuwa "The World" tangu lini? Yaani baada ya kujipa Cheo Cha Kiongozi wa Malaika sasa mnajiita " Ze Weldi"
Kumbe nyie mchezo wa puzzle hamuujui vzr, Jaffo alikuwa ni watu wanotajwatajwa na kitengo kumrithi huyo, sasa jamaa kaamua kumvurugia na yeye hajashtuka bado.Kinana alikuwa mwanamkakati mzuri wa kisiasa, ambaye nyakati za uchaguzi aliivusha CCM ktk changamoto nyingi. Lkn waraka wake na mzee mwenzake wakambeza, haya sasa tunashudia vitimbwi vya kisiasa kupitia hawa makada "naive" sampuii ya akina Jafo wakicheza bahati na sibu ndani ya ulingo mpana wa kisiasa bila kujali madhara.
Hakuna mgombea huru Tanzania hii, huyo waziri kajichanganya, au kachanganywa.Sasa kama wewe unasema hivyo, imekuawje Waziri wako wa TAMISEMI, Suleiman Jafo, alazimishe kuwa majina yote yaliyokatwa yanerejeshwa, na hakuna chama kutamka kuwa wamejitoa??
Wewe hujui mambo mengi, unadhani Samuel Doe aliyeuawa kikatili hakuwa na watu jeshini na usalama wa taifa aliyewapa hivyo vyeo?Jidanganye......Anawamudu wote hao. Kote huko kaweka watu ambao hawakutegema kukwaa vyeo hivyo
Kenge kafie mbele unaambiwa ukweli acha kukashifu wagonjwa hujui lini nawe utauguaUmeshapanic tayari utafikiri umeguswa kalio au bwana wako?