Wanachama 600 wa CCM wachana kadi zao Muheza !

Wanachama 600 wa CCM wachana kadi zao Muheza !

TeamLowassa

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2013
Posts
1,495
Reaction score
937
Wanajukwaa!

Mnyukano wa kura za maoni ccm inazidi kukipasua chama hicho. Leo wanachama 600 muheza wachana kadi zao na kutishia kuhamia upinzani!

Source: ITV habari saa mbili!
 
Na bado ccm kwishiney, mpaka october mbona hata mgombea wake atajiunga Ukawa. Hongera sana Edo watu wana imani kubwa sana na wewe.
 
Mbona kila kona Watanzania, wanahamia CHADEMA, UKAWA...

Kila kona ya nchi, wana CCM wanamfuata Lowassa...

Ama kweli Lowassa anapendwaaaa sanaaaaa
 
Chalinze na Bagamoyo wanajipanga kujiunga na CDM
 
Man ! Baba yangu mdogo nenda muheza wikiend hii! Pale mtindiro,kwafungo,kicheba hawapo vizur!kakazie hapo kiidogo! Pale ngomen kamba ,buhur mpka mkanyagen nimepita pita hapo somo limeeleweka wote ni wana ukawa
 
Na bado. Kesho zaidi ya wananchama wa CCM elfu 70 kutoka Mara wanahamia Chadema...

Mkuu ocampo four unamahanisha 70,000? Duh! Mtawaua kwa presha wamehamua kufungia goli la mkono kwa kuomba vitambulisbo vya askari
 
Back
Top Bottom