johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,949
- 141,930
Wafuasi 6 wa Chadema wilayani Momba mji wa Tunduma wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuchoma moto ofisi mbili za serikali za mitaa na kumtishia kifo diwani
Hata hivyo DC Kulandaka waMomba amemtaka duwani huyo kutowaogopa hao Bavicha na aendelee kuchapa kazi serikali inamlinda
Source: ITV habari
Hata hivyo DC Kulandaka waMomba amemtaka duwani huyo kutowaogopa hao Bavicha na aendelee kuchapa kazi serikali inamlinda
Source: ITV habari