Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,045
- 103,460
Kubalini tume huru ya uchaguzi ili mpime kiwango Cha hii mbinu yenu outdated.Ndio inabomoka hivyo 😁😁
Kubalini tume huru ya uchaguzi ili mpime kiwango Cha hii mbinu yenu outdated.Ndio inabomoka hivyo 😁😁
Future Iko kwa Hawa wanaoendekeza uchawa.Ukiwa na akili timamu huwezi Baki kwenye chama Cha Matukio na uchaguzi hakuna future huko
Ndio wewe utakunja ndita Hadi unazeeka 🤣🤣Future Iko kwa Hawa wanaoendekeza uchawa.
Kwani tume huru ni ipi tofauti na ya Sasa?Kubalini tume huru ya uchaguzi ili mpime kiwango Cha hii mbinu yenu outdated.
Channel ten ni ccm, usiwaaminiSource: Taarifa ya saa moja Habari Channel 10
Hao ni UVCCM na barua ilivuja mapema snWanachama 381 wa Chadema Geita wahamia CCM wakabidhi kadi za Chadema kwa Upendo Peneza mkutano hadhara Geita
Source: Taarifa ya saa moja Habari Channel 10
Kwanza ni utapeli maana CHADEMA hawana kadi za manuallyWaambieni wahamie tu chama cha mkoloni mweusi, umeme ukikatika tunakatiwa wote na bei ya sukari ikizidi kupanda tutaathirika wote.
Tanu+ccm=1954~2024 70 years old Bado siasa za kugombea wanachama na vyama vya 1992 duhWanachama 381 wa Chadema Geita wahamia CCM wakabidhi kadi za Chadema kwa Upendo Peneza mkutano hadhara Geita
Source: Taarifa ya saa moja Habari Channel 10
Mmcheppuko....Kishindo Cha Upendo Peneza kimeendelea kutikisa baada ya Wanachama zaidi ya 380 wa Chadema kukikacha chama hicho kilichopoyeza muelekea na kuhamia Chama Cha CCM chini ya Mwenyekiti shupavu Rais Samia.
My Take: Tuseme Ukiwa na akili timamu huwezi Baki Chadema maana ni mradi wa familia ya Sultan Mbowe na wachaga tena Walutheri Wacha kipukutike,hiyo ni trailer tu.
=========
WANACHAMA 381 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Geita wametangaza kuachana na chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Uamuzi huo unakuja ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono aliyewahi kuwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Geita kupitia Chadema, Upendo Peneza ambaye tayari ameshahamia CCM.
Wanachama hao wamepokelewa rasmi juzi kwenye mkutano ulioandaliwa na CCM mkoa kwa ajili ya kumpokea rasmi Peneza, uliofanyika katika viwanja vya Nyankumbu mjini Geita. Akizungumzia suala hilo, Peneza alisema yote hayo ni matokeo ya serikali iliyopo madarakani kusimamia ukweli na haki na yeye amechagua kuwa mkweli ndio maana amehamia CCM.
“Mimi sikutafutwa na mtu kuingia CCM, nimeomba mwenyewe kuwa mwanachama, kwa hiyo tangu taarifa nilipoitoa kwa viongozi wa CCM wamenipa heshima kubwa sana. “Rais Samia Suluhu Hassan anataka haki, mheshimiwa anataka kila mtu atendewe haki, ndiyo maana baada ya kuingia madarakani aliwatafuta ndugu zetu wa vyama vya upinzani.
“Anataka watu wahudumie watu kwa haki, wananchi wasionewe, kwa sababu huo ndio msingi wa uongozi wake, na kwa sababu hiyo na mimi nitajitahidi kutoa mchango wangu,” alisema.
Daily News
Mfumo wa chadema una shida kubwa kubeba watu smartWanachama 381 wa Chadema Geita wahamia CCM wakabidhi kadi za Chadema kwa Upendo Peneza mkutano hadhara Geita
Source: Taarifa ya saa moja Habari Channel 10
Pascal Mayalla ...Mkuu achakunionea bure kwasababu tuliitwa wanyonge...hata na mimi huyajuwi maisha yangu njee ya JF.ila wewe tunakujuwa JF kama wanahabari wakujitegemea pia Shadow alio pigwa chini na mtu chamungu Gwajima.Mbona Magufuli wakati amekuita wewe ni njaa hakutoka povu hivo ? Acha kujibu hoja Kwa kubagua huyu ni rais au mnyonge.Kama nimekukosea nisamehe mkuu.mkuu mirror01 ,jee unanfahamu zaidi ya humu jf, kujua what I do kuendesha maisha yangu?.
P
Upendo Karma inamsubiri kwa hamu around the corner ngojeni muone atakavyogalagazwa.Upendo duh nini kimempata?
Tume huru inayowajibika kwa moja ya vyama vinavyoshiriki uchaguzi?! Uza ubongo huo boss maana unakaa nao kwa hasara.Kwani tume huru ni ipi tofauti na ya Sasa?
Nimekusamehe, peace and love, kuna watu humu ni ma Sherifu, ukimsema tuu mtu vibaya, akikasirika... unakwenda na maji!.Pascal Mayalla ...Mkuu achakunionea kwasababu tuliitwa wanyonge...mbona Magufuli wakati amekuita wewe ni njaa hakutoka povu hivo ? Acha kujibu hoja Kwa kubagua hiyo ni rais au mnyonge.Kama nimekukosea nisamehe mkuu.
Safi sana Pascal umeonyesha Hekima na Busara👍Nimekusamehe, peace and love, kuna watu humu ni ma Sherifu, ukimsema tuu mtu vibaya, akikasirika... unakwenda na maji!.
P
Hizo ni zili pendwa.Wanachama 381 wa Chadema Geita wahamia CCM wakabidhi kadi za Chadema kwa Upendo Peneza mkutano hadhara Geita
Source: Taarifa ya saa moja Habari Channel 10