magamba wanatwanga maji kwenye kinu. tuwaombee washinde rufaa yao.
Hii habari makao makuu wanapaswa kuingilia kama mkoa wameshindwa.
Indaji tee bhantu mwii, Ungulubhi abhavwe bhana bhitu, tubhaputila tee, tuli palushimo, munganasaje!
Wanachama 3 wa cdm wamefungwa miaka 3 jela ktk mah ya mwanzo ya kijiji cha iyula wilayani mbozi.baada ya kuzuliwa kesi na mwenyekiti wa kijiji cha ichesa wilayani mbozi kuwa walitaka kumuua.kabla ya hapo mwenyekiti alikuwa ametangaza kuwa atahakikisha vyama vya upinzani havipati nafasi ya kujiimarisha ktk eneo lake.vijana hao walikamatwa waliopokuwa wanatangaza sera za chama chao ilikujaribu kukitwaa kiti cha udiwani wa kata ya ichesa pindi uchaguzi utakapoitishwa baada ya kifo cha diwani wa ccm. hivyo mwenyekiti kuingiwa na wasiwasi kuwa huenda kata hiyo isitwaliwe tena na ccm.viongozi wa wilaya cdm wamekata rufaa na itasikilizwa 20 07 2012 baada ya kutumikia kifungo cha mwezi 1.
Mungu wasaidie makamanda hata Mandela alizamishwa ndani miaka 26
Wanachama 3 wa cdm wamefungwa miaka 3 jela ktk mah ya mwanzo ya kijiji cha iyula wilayani mbozi.baada ya kuzuliwa kesi na mwenyekiti wa kijiji cha ichesa wilayani mbozi kuwa walitaka kumuua
Ndiyo mnasema mahakama ni mhimili huru? Nafuu watanzania wengi wafahamu manyanyaso yanayofanywa na ccm kupitia vyombo vya dola vilivyo chini yake.
Mkuu mwaka huu mtatufunga wote lakini 2015 tutatoka woteMkuu vipi wanasheria wenu Tundu Lissu, Mabere, wameshindwa kuwatetea au ndio mmeishawatumia kesi watajijua wenyewe.