Wanachama 3 wa chadema wafungwa mika 3 jela.

Indaji tee bhantu mwii, Ungulubhi abhavwe bhana bhitu, tubhaputila tee, tuli palushimo, munganasaje!

Na bado utamaliza lugha zote yaani mnavunja sheria za nchi muachiwe tu haiwezekani lazima tuheshimu utawala wa sheria.
 
Wanachama 3 wa cdm wamefungwa miaka 3 jela ktk mah ya mwanzo ya kijiji cha iyula wilayani mbozi.baada ya kuzuliwa kesi na mwenyekiti wa kijiji cha ichesa wilayani mbozi kuwa walitaka kumuua.kabla ya hapo mwenyekiti alikuwa ametangaza kuwa atahakikisha vyama vya upinzani havipati nafasi ya kujiimarisha ktk eneo lake.vijana hao walikamatwa waliopokuwa wanatangaza sera za chama chao ilikujaribu kukitwaa kiti cha udiwani wa kata ya ichesa pindi uchaguzi utakapoitishwa baada ya kifo cha diwani wa ccm. hivyo mwenyekiti kuingiwa na wasiwasi kuwa huenda kata hiyo isitwaliwe tena na ccm.viongozi wa wilaya cdm wamekata rufaa na itasikilizwa 20 07 2012 baada ya kutumikia kifungo cha mwezi 1.

Wanazidi kuinajisi mahakama tu. Kama hii ndiyo new strategy basi waongeze idadi ya magereza kwa asilimia 20,000%
 
Wanachama 3 wa cdm wamefungwa miaka 3 jela ktk mah ya mwanzo ya kijiji cha iyula wilayani mbozi.baada ya kuzuliwa kesi na mwenyekiti wa kijiji cha ichesa wilayani mbozi kuwa walitaka kumuua

Miaka mitatu tu? Huyu hakimu vp watu wametishia kuuwa, hawa angetandika miaka 17 na adhabu ngumu kwa kila mmoja ili kutoa fundisho kwa wauaji wote wa chama chao.
 
Wao pesa Sisi MUNGU na ngoja tuone mwisho wao!

Jamani Mi naona huu mwaka ni mbali 2015.
 
Mitatu tu? Kuna watu wamefungwa miaka 20 na kitu na bado wametoka na kuwa watu wa maana sana. Knowledge will always prevail!!!!
 
Ndiyo mnasema mahakama ni mhimili huru? Nafuu watanzania wengi wafahamu manyanyaso yanayofanywa na ccm kupitia vyombo vya dola vilivyo chini yake.


Kama haitakuja kuwarudia na kuwa chombo huru ya kuwahukumu wao tukae na tuone!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom