Yericko Nyerere anasema hivi..."Huu ni wakati mwafaka kwa wanachadema kutulia na kuonyesha mshikamano wetu, propaganda za ccm zisitunyime usingizi
kwakuwa nasi ni wataamu wa propaganda tena za kisasa.
Tujipange na kisha tuwakabili kwa propaganda murua na za kisomi bila kuvunja katiba ya nchi wala sheria za nchi.
Chadema iandae vijana wasomi wazuri kisha iwapeleke kwenye wizara zote nchini, wanaweza kupeleka kila wizara vijana 5 tu, hao kazi yao kuu iwe kufichua maovu na matatizo yaliyokwenye wizara hizo, vilevile waweze kupendekeza nini chakufanya ili kuondoa matatizo hayo.
MFAN0: Timu ya vijana hao iyafichue matatizo yaliyo kwenye Elimu, Uchumi, Afya, Ulinzi, Maji,Chakula, Nishati, Miundombinu na kisha viongozi wa Kitaifa waende katika majukwaa ya kiisiasa na waatangazie wananchi hali ya sekta hizo nchini na hatua za haraka za kuchukua. Tukifanya hayo ninaamini ndani ya siku 60 tu CCM itaangushwa na umma wa Watanzania"
*********************************************************************************
kwenye red: kumbe ninyi na CCM mnashindana propaganda? duh nilidhan mpo busy kufikiria njia za kujenga nchi? so propaganda zipi mlisha wafanyia CCM so far,zinalingana na hii waliyo wafanyia kwa Lwakatare na Kibanda? nimestuka sana.
kwenye blue:CDM bana,yaan yawezekana wewe ndo chief strategist wa chama, umekuja hapa JF kupanga mipango...duh? ndo maana wanawazidi kila siku....! why shudn't you conceal your intentions? so by pre emptying like this unafikiri utawashinda ndani ya siku hizo 60? kama chama ndo kina watu wa dizaini hii.. a long way to go,and even impossible,other wise ziwe rhetorics tu.
asante.