Wanaanga wapigwa marufuku kupiga punyeto anga za juu

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,491
20,457
Wanaanga wa anga za juu wamepigwa marufuku kupiga punyeto wakiwepo anga za juu.

Hii inatokana na uwezekano wa wao kuwapa mimba viumbe wengine wa anga za juu na hivyo kuzaa viumbe hybrid ya binadamu na đź‘˝ alien.

Screenshot_20220801-095501_1659336982188.jpg
 
... dawa ni kupeleka tu wanaanga wa kike; unakuwa umemaliza tatizo for good!
 
Back
Top Bottom