Ondoa Dark Master na KR hao vipaji hamna na weka Jose Mtambo,Mack D, Imam Abbas, black rhino,mapacha
Ondoa Dark Master na KR hao vipaji hamna na weka Jose Mtambo,Mack D, Imam Abbas, black rhino,mapacha
Nashindwa niulizaje lakini kama niliwahi kusikia kuwa Mac D ni marehemu!! Au nimefananisha majina?? Pia Imam Abbas 'bendera ya bati mlingoti wa chuma' haimbi tena siku hizi.
Waandishi wa kibongo wavivu sana,wanakazi na wanalipwa ila kufuatilia skendo mtaani hawawezi kazi kukaa kwenye mitandao kuangalia nini mtu kapost halafu wa-copy wao
Ila Q chillar anajitahid sana cjui vile ana nyota gan hivi Spark yuko wapi