Wana usalama, mikono salama na mahali salama

Wana usalama, mikono salama na mahali salama

Kwahiyo unatamani kusiwe na rais ,viongozi ,wizara ,halmashauri ,sasaa Nchi itakuwa organized namna gani .mtu akisema akisema anatamani asisikie siasa hajielewi ,Ni bichwa lake ni box

Vipi kuhusu nchi zinazoomgozwa kifalme/malkia, ulishasikia wakipiga kampeni kumchagua huyo kiongozi? Na je nchi hizo haziko organized?
Siasa unayoijua wewe ilianza lini? Na kabla ya hapo hapakuwa na uongozi, na organized country??
Nasikitika kukwambia kuwa ulikunywa vibaya somo la siasa..
 
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji116][emoji116][emoji116]
Vipi kuhusu nchi zinazoomgozwa kifalme/malkia, ulishasikia wakipiga kampeni kumchagua huyo kiongozi? Na je nchi hizo haziko organized?
Siasa unayoijua wewe ilianza lini? Na kabla ya hapo hapakuwa na uongozi, na organized country??
Nasikitika kukwambia kuwa ulikunywa vibaya somo la siasa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni mikono salama...ukipitishwa humu ndio usalama wenyewe...kwenda nakurudi salama inategemeana na kiwango cha usalama unachopewa au kukilimiwa...Cha msingi ni Usalama...

Nisalama zaidi Rohoni...kama ukifa kuliko kuvalishwa Khanga kama yule tajiri Mhindi wa Bunju...

Cha msingi Usalama...[emoji41][emoji41][emoji48][emoji48][emoji36][emoji36][emoji16][emoji23]
IMG_20190819_141941.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144]
Hii ni mikono salama...ukipitishwa humu ndio usalama wenyewe...kwenda nakurudi salama inategemeana na kiwango cha usalama unachopewa au kukilimiwa...Cha msingi ni Usalama...

Nisalama zaidi Rohoni...kama ukifa kuliko kuvalishwa Khanga kama yule tajiri Mhindi wa Bunju...

Cha msingi Usalama...[emoji41][emoji41][emoji48][emoji48][emoji36][emoji36][emoji16][emoji23]
View attachment 1291173

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
S I R I nzito kuto onekana hadharani Job Yustino Ndugai.

Inawezekana kabisa hata ile barua yakujiuzuru hakuandika Ndugai ila ni foggery.

Kama ccm waliweza kufoji barua kutoka kwa katibu mkuu wa CDM na saini juu, wanashindwaje kucheza na kiyango chao NDUGAI?

Kuniuzuru kwa ndugai ni by FORCE, yaani hakuandika barua ila imeandikwa na watu wanaowajua wenyewe.

Ndugai hata mara ya mwisho wakati anapiga picha na SSH hakuwa mwenye furaha alikuwa mwenye hofu tele angalia ile picha vzr.

Ndugai hawezi toka hadharani na kusema kweli, anajua kbs atakufa siku sio zake na hivi ana magonjwa makubwa soon yata fumuka yote mtasikia tu.

Ndugai anaona bora akae kimya asije akapotezwa na watu wa system. Ila iwe funzo ajue kbs alivyokuwa anatesa watu na yeye yamemkuta na malipo ni hapa hapa duniani.

Tundu Lissu aliwahi kusema

"wakimalizana na SISI CHADEMA watakuja kwenu CCM na mwisho kwa raia wasio na vyama".

Na kweli tumeona yametokea, vijana wa lumumba mna nini cha kusema juu ya umafya huu wa watu wa system kufoji barua ya kujiuzuru kwa ndugai?

Screenshot_20220212-082947.png
 
Back
Top Bottom