Wana Simba SC tutaje wachezaji tunaoona hawatufai msimu ujao

Professionals wabaki Chama, Kagere, Okwi, Niyonzima na Gyan. Ila Wawa, Juuko, Zana, Kotei na Kwasi waondoke. Tulete professionals watano tu, Striker 1 aliyewazidi kiwango akina Kagere lakini siyo Tuyisenge wala Chirwa, defensive midfielder moja mrefu aliyemzidi kiwango Mkude, center backs wawili full back right moja kusaidiana na Kapombe. Gyan asogezwe mbele. Locals wapunguzwe Dida, Bukaba, Mbonde, Mo Ibra. Mkopo atolewe Salamba. Locals wapya Ajib, Gadiel, Kabunda, Kakolanya na Maembe. Mkopo kurejeshwa Marcel Kaheza. Gadiel agombee namba na Shabalala, Kakolanya apambane na Manula.
 
yule aliyepigwa kanzu na jamaa wa mazembe taifa ndani ya box. .. akabaki ameduwaa tu asepe kwa kweli
 
Professionals wabaki Chama, Kagere, Okwi, Niyonzima na Gyan. Ila Wawa, Juuko, Zana, Kotei na Kwasi waondoke. Tulete professionals watano tu, Striker 1 aliyewazidi kiwango akina Kagere lakini siyo Tuyisenge wala Chirwa, defensive midfielder moja mrefu aliyemzidi kiwango Mkude, center backs wawili full back right moja kusaidiana na Kapombe. Gyan asogezwe mbele. Locals wapunguzwe Dida, Bukaba, Mbonde, Mo Ibra. Mkopo atolewe Salamba. Locals wapya Ajib, Gadiel, Kabunda, Kakolanya na Maembe. Mkopo kurejeshwa Marcel Kaheza. Gadiel agombee namba na Shabalala, Kakolanya apambane na Manula.
Umeua mkuu tena sana.. Ila kwa nini center Midfieder tusichukue wawili(2) wa kigeni ??
Wa kumsaidia Kapombe awe mzawa.. na huyu MAEMBE wa wapi na nafasi gani anacheza?
 
Mimi nachotamani kuona msimu ujao ni wachezaji wapya wente uwezo binafsi na wenye uwezo wa kuamua matokeo... Tunahitaji striker mwenye uwezo wa kutafuta mipira kukaa na mipira na kufunga vilevile.
Beki mwenye roho mbaya beki mwenye kutumia akili nyingi na mwenye uwezo mkubwa wa kucheza mipira ya juu (Vichwa)
Tunahitaji kiungo mkabaji na mwenye sipidi mwenye uwezo wa kupandisha timu, mwenye pasi za haraka.
Mfumo wetu uwe wa 3:4:3 au 4:3:3
 
Back
Top Bottom