3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,882
Kweli jamaa hayuko vzr kama mwanzo.. mi nahisi game nyingi alizocheza na zakufatana after 2 days.Mkude ameisha sana...hafai kuendelea kubaki simba
Kweli jamaa hayuko vzr kama mwanzo.. mi nahisi game nyingi alizocheza na zakufatana after 2 days.Mkude ameisha sana...hafai kuendelea kubaki simba
Zana hafai aisee..Zana coulibaly aondoke tu...akiendelea kubaki simba basi msimu ujao naacha kuishabikia simba
Wa kigeni Meddie Kagere.Kwangu mimi bocco ndo anastahili kupewa uchezaji bora TPL Msimu huu
Mkude ni uchovu tu wamecheza mechi nyingi... Jamaa bado anafaa
Zana hafai aisee..
Yule kiwango chake ni kidogo ashaisha...simba kama wapo serious na uwekezaji kwenye mpira hafai kuendelea kubaki paleKweli jamaa hayuko vzr kama mwanzo.. mi nahisi game nyingi alizocheza na zakufatana after 2 days.
Umeua mkuu tena sana.. Ila kwa nini center Midfieder tusichukue wawili(2) wa kigeni ??Professionals wabaki Chama, Kagere, Okwi, Niyonzima na Gyan. Ila Wawa, Juuko, Zana, Kotei na Kwasi waondoke. Tulete professionals watano tu, Striker 1 aliyewazidi kiwango akina Kagere lakini siyo Tuyisenge wala Chirwa, defensive midfielder moja mrefu aliyemzidi kiwango Mkude, center backs wawili full back right moja kusaidiana na Kapombe. Gyan asogezwe mbele. Locals wapunguzwe Dida, Bukaba, Mbonde, Mo Ibra. Mkopo atolewe Salamba. Locals wapya Ajib, Gadiel, Kabunda, Kakolanya na Maembe. Mkopo kurejeshwa Marcel Kaheza. Gadiel agombee namba na Shabalala, Kakolanya apambane na Manula.
Kama tutapata middle mzuri mzawa sawa tofauti na hapo si sawa kumuacha mkuuNaomba muangalie tena mkude mzee huyu jamaa mpira unaisha etii.
Na kwa game hizi zilizobaki sijui wanampanga wa nini.. Ligi iko mwishoni yeye anapaka rangi gozi.Zana kweli hafai haiwezekani beki awe mzuri kwenye kupandisha timu tu ila timu ikishambuliwa awe anapwaya
Poa mkuu.. vipi Mzamiru na Ndemla?Yule kiwango chake ni kidogo ashaisha...simba kama wapo serious na uwekezaji kwenye mpira hafai kuendelea kubaki pale
SERGI WAWA PASCAL.yule aliyepigwa kanzu na jamaa wa mazembe taifa ndani ya box. .. akabaki ameduwaa tu asepe kwa kweli
Wewe ni churaaUlipomtaja nyoni na tshabalala kwamba hawafai sijaendelea kusoma uzi wako
Mkuu kafungue uzi wa kujadili timu yenu iweje Next season..Uzeni na timu kabisa
Tayari ipoMkuu kafungue uzi wa kujadili timu yenu iweje Next season..
Akikupa link nami nipe dm nijoinMi naombwa mwenye magroup ya simba aniunge au anitumie link nijumuike na wanamsimbazi wenzangu jmn. 0737643707.