GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,031
Kama Wewe ni mwana Simba SC halafu una wasiwasi / hofu na ' Mtanange ' wa Jumapili tarehe 30, Septemba 2018 kwamba ' tutafungwa ' unakosea na Mimi GENTAMYCINE kupitia ' Uzi ' huu nakuhakikishia kwamba tayari tumeshamaliza ' Kazi ' na Yanga SC anafungwa Magoli Mawili kwa Bila ( Sifuri )
Msiogope na Mjiamini Kazi tumeshaimaliza na ' wamekwisha ' 100%.
Na kuna Kitu kama ' tukifanikiwa ' kukifanya leo usiku au kesho usiku au Jumamosi usiku eneo la nje la Uwanja wa Taifa basi kuna uwezekano Yanga SC akafungwa Magoli Saba ( 7 ) kwa Sifuri ( 0 ) ila tunangaika nalo huku tukijitahidi kwakuwa kuna ' Changamoto ' fulani tunaipata kutoka kwa Watu fulani waliopo pale Taifa lakini kuna ' Umafia ' mmoja tunaenda ' Kuufanya ' ambao pia pia utakuwa ni wa ' Kumkufuru ' kidogo ' Maulana ' lakini hatuna jinsi ' tutatubu ' Kwake baada ya ' Kumfunga ' Yanga SC hiyo Jumapili.
Safari tunataka si tu Wagombane wenyewe kwa wenyewe bali tunataka pia ikiwezekana basi ' Wauwane ' pia na Klabu yao ' isambaratike ' kimoja na tumalize ubishi watuheshimu Simba SC milele. Kuna Mtu wao yuko huko huko Morogoro Kambini ndiyo ' tunamtumia ' pasipo Wao kujua au Kumshtukia ndiyo anatufanikishia kila Kitu.
Kama Wewe ni ' mwoga ' usikaribie maeneo ya Uwanja wa Taifa usiku wa kuanzia leo hadi Jumapili kwani tumechoka na ' dharau ' zao Kwetu na tutakayofanya hapo ukiyaona unaweza hata usilale tena Usingizi na kuwa mwoga tu daima. Si ' wametucheka ' Kufungwa na Mbao FC na kutoka Sare na Ndanda FC sasa Jumapili tarehe 30, Septemba 2018 ndiyo ' watatutambua ' Simba SC.
Wana Simba SC kateni Tiketi zenu upesi, jazeni uwanja na ikiwezekana ingieni Uwanjani mkiwa mmeshika Bia, Soda, Juice pamoja na Kuku na Popcorns za kutosha kwani ' KAZI TUMESHAIMALIZA ' rasmi na hizo Goli / Bao Mbili ( 2 ) zipo pale pale na hata wakienda wapi hawawezi ' Kuzichomoa ' na kama ' wakizichomoa ' tu basi kuna uwezekano Kiongozi wao mkubwa akafa kama siyo kufariki kabisa.
Watatukoma!
Nawasilisha.
Msiogope na Mjiamini Kazi tumeshaimaliza na ' wamekwisha ' 100%.
Na kuna Kitu kama ' tukifanikiwa ' kukifanya leo usiku au kesho usiku au Jumamosi usiku eneo la nje la Uwanja wa Taifa basi kuna uwezekano Yanga SC akafungwa Magoli Saba ( 7 ) kwa Sifuri ( 0 ) ila tunangaika nalo huku tukijitahidi kwakuwa kuna ' Changamoto ' fulani tunaipata kutoka kwa Watu fulani waliopo pale Taifa lakini kuna ' Umafia ' mmoja tunaenda ' Kuufanya ' ambao pia pia utakuwa ni wa ' Kumkufuru ' kidogo ' Maulana ' lakini hatuna jinsi ' tutatubu ' Kwake baada ya ' Kumfunga ' Yanga SC hiyo Jumapili.
Safari tunataka si tu Wagombane wenyewe kwa wenyewe bali tunataka pia ikiwezekana basi ' Wauwane ' pia na Klabu yao ' isambaratike ' kimoja na tumalize ubishi watuheshimu Simba SC milele. Kuna Mtu wao yuko huko huko Morogoro Kambini ndiyo ' tunamtumia ' pasipo Wao kujua au Kumshtukia ndiyo anatufanikishia kila Kitu.
Kama Wewe ni ' mwoga ' usikaribie maeneo ya Uwanja wa Taifa usiku wa kuanzia leo hadi Jumapili kwani tumechoka na ' dharau ' zao Kwetu na tutakayofanya hapo ukiyaona unaweza hata usilale tena Usingizi na kuwa mwoga tu daima. Si ' wametucheka ' Kufungwa na Mbao FC na kutoka Sare na Ndanda FC sasa Jumapili tarehe 30, Septemba 2018 ndiyo ' watatutambua ' Simba SC.
Wana Simba SC kateni Tiketi zenu upesi, jazeni uwanja na ikiwezekana ingieni Uwanjani mkiwa mmeshika Bia, Soda, Juice pamoja na Kuku na Popcorns za kutosha kwani ' KAZI TUMESHAIMALIZA ' rasmi na hizo Goli / Bao Mbili ( 2 ) zipo pale pale na hata wakienda wapi hawawezi ' Kuzichomoa ' na kama ' wakizichomoa ' tu basi kuna uwezekano Kiongozi wao mkubwa akafa kama siyo kufariki kabisa.
Watatukoma!
Nawasilisha.