changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 5,587
- 9,179
- Thread starter
- #21
Nimekwambia Simba hawajafikia hata kunyang'anyana wachezaji na timu kama Al Ahly au Hororya. Wala sikusema Hororya kunyang'anyana wachezaji na Al AhlyHoroya imenyang'anyana mchezaji na Al Ahly lini mkuu ?
Horoya ni selling club kama ilivyo Yanga, Gor Mahia, Namungo, Azam na Ruvu shooting.
Kwanza wachezaji wa Horoya asilimia 80 ni raia wa Guinea Conakry.