Nimekaa na kuiangalia picha hii kasha nikaanza kutafari juu ya siasa za uhasama hapa kwetu, mwisho nikaanza kucheka peke yangu. Leo wanasiasa wa kibongo wanachukiana kama paka na panya, kwa nini? Wana siasa wetu naomba jibu.
Pompo hizo za kinafiki sana, lite kama ungelikuwa unafuatilia yao ni tofauti sana na wenzetu wanavyomaanisha! wao wanashindana kwa kujenga HOJA na wala si kuparurana kwa MATUSI ya nguoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.