Kwa tunaye mfahamu kijana huyu tuna kila sababu ya kujivunia tunda hili adhimu lililozaliwa na kukulia katika bonde oevu, Bonde la Kilombero, Mkoani Morogoro.
Victor Makinda ni miongoni mwa vijana wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kusimamia jambo likaanza na hata kufika mwisho kwa mafanikio makubwa.
Kwa mfululizo wa miaka mitano Kilombero tulipata uwakilishi mbovu kabisa kutoka kwa Peter Lijualikali, kitendo ambacho kimetufanya wengi kujuta kumchagua Lijualikali aliyejawa na sifa nyingi mbaya ambaye tunathubutu kusema amelidumaza Jimbo kimaendeleo kwa miaka mitano.
Huu ni wakati wa kumchagua mtu makini, kada wa CCM mwenye uchungu wa Maendeleo ya Kilombero ili kwa pamoja tusaidiane kupeleka mbele gurudumu la maendeleo jimboni kwetu. Huyu si mwingine bali ni Victor Makinda.
Tusikosee tena uchaguzi 2020.
Victor Makinda ni miongoni mwa vijana wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kusimamia jambo likaanza na hata kufika mwisho kwa mafanikio makubwa.
Kwa mfululizo wa miaka mitano Kilombero tulipata uwakilishi mbovu kabisa kutoka kwa Peter Lijualikali, kitendo ambacho kimetufanya wengi kujuta kumchagua Lijualikali aliyejawa na sifa nyingi mbaya ambaye tunathubutu kusema amelidumaza Jimbo kimaendeleo kwa miaka mitano.
Huu ni wakati wa kumchagua mtu makini, kada wa CCM mwenye uchungu wa Maendeleo ya Kilombero ili kwa pamoja tusaidiane kupeleka mbele gurudumu la maendeleo jimboni kwetu. Huyu si mwingine bali ni Victor Makinda.
Tusikosee tena uchaguzi 2020.