Wana Kalenga: Mgimwa kasahau matatizo yetu

busar

JF-Expert Member
Dec 22, 2011
1,068
1,061
Hajaeleza lolote la matatizo yetu wanakalenga, naona ni kati ya wabunge mzigo.
 
Hajaeleza lolote la matatizo yetu wanakalenga, naona ni kati ya wabunge mzigo.

Mbona wakati anahitimisha maliza vizuri. Kwa ujumla speach yake ni nzuri. Kama rais atafanya mabadiliko kwenye baraza la mawaziri aweza kuwa waziri.
 
Mbona wakati anahitimisha maliza vizuri. Kwa ujumla speach yake ni nzuri. Kama rais atafanya mabadiliko kwenye baraza la mawaziri aweza kuwa waziri.

Hakuna zoba kama Mgimwa,speech yake ya leo imejaa unafiki,anazungumzia leadership accountability wakati hakusaini azimio la uwajibikaji,halafu apewe uwaziri? SI YALEYALE.ANY WAY 2015 NI MWISHO WAKE.
 
...Kwangu mie, Mgimwa ni miongoni mwa Wabunge makini waliopo Bungeni kwa sasa,otherwise uchaguzi wa kumteua Mwakilishi wa Wana Kalenga 2015 upo mikononi mwa WanaKalenga, lakini ONYO, msijemkamtoa mtu makini kama Mgimwa alafu mkatuletea Lusinde type...
 
...Kwangu mie, Mgimwa ni miongoni mwa Wabunge makini waliopo Bungeni kwa sasa,otherwise uchaguzi wa kumteua Mwakilishi wa Wana Kalenga 2015 upo mikononi mwa WanaKalenga, lakini ONYO, msijemkamtoa mtu makini kama Mgimwa alafu mkatuletea Lusinde type...

Huna mamlaka ya kutoa onyo hapa wala kuwachagulia wana wa Kalenga mbunge wanaye mtaka.Kwa taarifa yako 2015 ni uchaguzi wa kwanza wa mbunge wa kalenga kwani wana kalenga wamechoka kuchagua wastaafu[wazee]wanao ona ubunge ni kazi ya baada kustaafu badala ya kutumia active brain age[24-60 yrs].
 
Huna mamlaka ya kutoa onyo hapa wala kuwachagulia wana wa Kalenga mbunge wanaye mtaka.Kwa taarifa yako 2015 ni uchaguzi wa kwanza wa mbunge wa kalenga kwani wana kalenga wamechoka kuchagua wastaafu[wazee]wanao ona ubunge ni kazi ya baada kustaafu badala ya kutumia active brain age[24-60 yrs].

Fukuzeni uozo huo, kalenga mnaumia kwa kuwachagua watu wasio na uchungu wa maendeleo ya majimbo yao, igeni wana Iringa mjini walichofanya. Halafu hata Prof. Msolla nae ni wakufukuza maana iringa kunahitaji watu makini tupate maendeleo sio wachumia tumbo tu. Wenzetu mikoa ya kaskazini hawataki upuuzi kabisa kuwabeba wachumia tumbo! Fukuzeni hao tupate wapenda maendeleo ya taifa letu.
 
Hakuna zoba kama Mgimwa,speech yake ya leo imejaa unafiki,anazungumzia leadership accountability wakati hakusaini azimio la uwajibikaji,halafu apewe uwaziri? SI YALEYALE.ANY WAY 2015 NI MWISHO WAKE.
nimemuazima jimbo kwa muda, come 2015 naenda chukua jimbo.hakuna kulala mpaka kieleweke.
 
Kwel kalenga imechoka sn, ifunda maji hakun, shule zimekuwa kama magofu, 2012 tunafukuza, alaaab
 
Back
Top Bottom