Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
- Thread starter
- #21
Nenda kwenye siredi ya Segerea uone wanavyomwambia "aende" Mtera akapambane na Lusinde, hata aliposhindwa ubunge wa Afrika Mashariki watu walimshadadia sana aende Mtera akalipe kisasi cha baba yake kushindwa na Lusinde.Unamzungumzia huyu aliyewahonga wabunge wampigiekura? Kama katoa rushwa kwa wabunge huko Mtera itakuwaje?