Tunamuomba mwenyezi mungu aendelee kuwapa mapigo makubwa wale woote wenye nia mbaya na mheshimiwa EDWARD NGOYAI LOWASA na awajalie nguvu na uwamuzi sahihi wa kupigia kura siku ya 25.10.2015 na kuwanyima mwelekeo wanao mpinga
Mkuu siyo tunamwombea EL tuu Mungu amtunze na kumpa afya njema, bali hata wale wanaopanga njama za kuiba na kuchakachua kura tunaomba sawa na zab 109: 8 - 15 "siku zao ziwe chache, .... kumbukumbu lao liondolewe duniani!:bange::bange:
Mkuu siyo tunamwombea EL tuu Mungu amtunze na kumpa afya njema, bali hata wale wanaopanga njama za kuiba na kuchakachua kura tunaomba sawa na zab 109: 8 - 15 "siku zao ziwe chache, .... kumbukumbu lao liondolewe duniani!:bange::bange: