WANA JF MSAADA VIFAA USED VYA GYM

WANA JF MSAADA VIFAA USED VYA GYM

stephanohonyo

Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
34
Reaction score
21
Kichwa cha habari chajieleza hapo juu, naomba kwa mwana JF ambaye anauza fitness equipment used anichek tafadhar
 
Nauza treadmill(mashine ya kukimbilia) used kidogo sana tzs 1.3m
 
Wenzako wanajenga taifa wewe unajenga mwili, kweli vipaumbele havifanani
 
Mkuu huwezi jenga taifa ka hauko physical fit, ila pia najenga taifa sababu nataka fungua fitness centre
 
Wenzako wanajenga taifa wewe unajenga mwili, kweli vipaumbele havifanani
Usikariri. Unaweza kununua hivyo vifaa, ukafungua gym ukapata hela na kulipa kodi. Je hapo hujengi taifa?

Au kuwasaidia watu kuwa na afya njema na kuzalisha zaidi kuliko wakiwa na afya dhaifu. Hapo hujengi taifa?
 
Usikariri. Unaweza kununua hivyo vifaa, ukafungua gym ukapata hela na kulipa kodi. Je hapo hujengi taifa?

Au kuwasaidia watu kuwa na afya njema na kuzalisha zaidi kuliko wakiwa na afya dhaifu. Hapo hujengi taifa?
Kibongobongo gym zinatumika ndivyo sivyo mkuu na nyingi hazina wataalamu wa afya zinaongeza uwezo wa kula tuu kwa watumiaji
 
Tufollow instagram, @vifaa_vya_mazoezi utapata vifaa vipya kwa gharama nafuu
 
Back
Top Bottom