platoon commander
Member
- Jun 16, 2019
- 14
- 18
Ni mara yangu ya kwanza kujiunga na JF wala sina wasi wasi yoyote najua wanajukwaa ni watu wastaarabu na wakarimu hivyo mtanionyesha ushirikiano wa hali na mali.
Sina mengi ya kusema ila naamini kwa hayo machache mtanipokea na kunitambua kama mwanajukwaa mwenzenu. Je wangapi mko tayari kunipokea mimi kama mwana JF mwenzenu?? Ningependa kusikia mrejesho wenu juu ya ombi langu.
Sina mengi ya kusema ila naamini kwa hayo machache mtanipokea na kunitambua kama mwanajukwaa mwenzenu. Je wangapi mko tayari kunipokea mimi kama mwana JF mwenzenu?? Ningependa kusikia mrejesho wenu juu ya ombi langu.