Kwa udhaifu wanaouonyesha wabunge wa chama cha magamba hakika, wasitarajie kurudi tena mjengoni, nalileta hili kwa wale wote wanaopenda kuwawakilisha wapiga kura majimboni mwao wanakotoka, tiketi ipo wazi kama utagombea kupitia chama makini. Nafikiri hapo wanajamvi mnanipata kuwa chama makini ni CDM pekee .
Mimi nalitamani jimbo la Kyela maana mbunge aliyekuwa anaaminika kama mbunge machachari , mchapa kazi mh. Mwakyembe kwisha habari yake, unajua siku hizi simuelewielewi anachofanya ! ni kama yupo hayupo vile !
Mimi nalitamani jimbo la Kyela maana mbunge aliyekuwa anaaminika kama mbunge machachari , mchapa kazi mh. Mwakyembe kwisha habari yake, unajua siku hizi simuelewielewi anachofanya ! ni kama yupo hayupo vile !