yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
kukikuwa na jamaa wanne walikuwa wanapiga stori ofisini. na ilikuwa hv/
WIKIPEDIA:Mimi najua kila kitu
FACEBOOK:mimi namjua kila mtu
JAMII FORUM: mimi najadilikila kitu!
GOOGLE:nyie wote hamniwezi, Mimi nina kila kitu. Utakachotaka nakupatia fasta!
Ghafla Akatokea TANESCO:"embu *Acheni makelele vinginevyo nitazima Umeme!"
WIKIPEDIA:Mimi najua kila kitu
FACEBOOK:mimi namjua kila mtu
JAMII FORUM: mimi najadilikila kitu!
GOOGLE:nyie wote hamniwezi, Mimi nina kila kitu. Utakachotaka nakupatia fasta!
Ghafla Akatokea TANESCO:"embu *Acheni makelele vinginevyo nitazima Umeme!"