Wana JF Arusha

Naona mradi wako unaenda vema.....
View attachment 33327

Ahsante sana kiongozi, haka kabajaji niliwahi kukakuta mitaa ya kariakoo sokoni, wakatiu nataka nikapige picha ghafla dereva akachoropoka.

Big up Preta -mwekezaji wa ndani, sijui kama nawewe unapata tax holiday kama wale ma foreign investors.

 

Next weeek ntawa Join niko njiani tokea kanda ya Ziwa naja hapo A town mara moja viji hiyo Jili jioni mtakuwepo hapo Soweto???? Ntajitambulisha kwa Jina langu kamili ila la haumu ndani sitokuambia ni nani
 


Next weeek ntawa Join niko njiani tokea kanda ya Ziwa naja hapo A town mara moja viji hiyo Jili jioni mtakuwepo hapo Soweto???? Ntajitambulisha kwa Jina langu kamili ila la haumu ndani sitokuambia ni nani

Kwani jina lako la huku JF si Jethro.....au una ID nyingine......ila karibu sana
 
Dah! Sikupata taarifa mapema, next meeting tutakuwa wote, ila tujulishane mapema ukumbi kama ni soweto au wapi. Mie naishi kota za soweto!
 
Too bad i missed it.

Next time nikiwa arround ntawajoin, kujuana muhimu.
 
Jethro, vikao huwa vinafanyika kila mwezi mara moja. Kwahiyo kingine ni mwishoni mwa mwezi huu!
Katibu wa wanajf Arusha natumain anafuatilia hii thread na ata"record" majina ya waliokosa taarifa mapema, ili next tym awa"pm" mapema. Kwahiyo ni vizuri waliokuwa na dhamira ya kuja waendelee kujiorodhesha hapa au wam'PM' Mzee wa Rula!
 
All the best wana Apollo! kazi nzuri hii msikatishwe tamaa
 
daaah,nimekikosa lkn tuko pamoja sana nxt tym ntatokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…