wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,931
- 4,549
Kila mtu humu anataka pesa, wengine tayari wamefanikiwa kuzipata kiasi na wengi wetu bado tunatafuta. Sasa nimebuni njia rahisi na nyepesi kwa kila mtu kujipatia pesa kwa urahisi zaidi. Nataka wanachama tuwe 5000 na zaidi, na tucheze upatu, na kila mwanachama awe anachangia sh 500 tu kwa siku. Ina maana 5000 mara 500 = Tsh 2,500,000 kwa siku, wakipatikana wanachama 30,000 itakuwa 30,000 mara 500=Tsh 15,000,000 kwa siku,kwa mwaka ni sawa na sh bilioni 5.4 na tutakuwa tunagawana kila baada ya mwaka.
Tutatengeneza Katiba yetu, ambapo atakuwepo Mwenyekiti, Katibu, Mweka hazina na wanachama.
Karibuni ndugu zangu tuji organize, hili ni jambo serious katika kutoa umaskini uliokithiri miongoni mwetu, nina mawazo mengi sana mazuri zaidi ya hili. Kwa humu ndani, wanachama 30,000 ni rahisi sana kupata. Tutakuwa na ofisi yetu, na tutajisajili kisheria, na tutakuwa na Mwanasheria wetu.
Haya karibuni wadau tuchangie mawazo na tujue tunaanzaje..
Tutatengeneza Katiba yetu, ambapo atakuwepo Mwenyekiti, Katibu, Mweka hazina na wanachama.
Karibuni ndugu zangu tuji organize, hili ni jambo serious katika kutoa umaskini uliokithiri miongoni mwetu, nina mawazo mengi sana mazuri zaidi ya hili. Kwa humu ndani, wanachama 30,000 ni rahisi sana kupata. Tutakuwa na ofisi yetu, na tutajisajili kisheria, na tutakuwa na Mwanasheria wetu.
Haya karibuni wadau tuchangie mawazo na tujue tunaanzaje..