Wana IT nithibitishie hili kama ni ukweli

Wana IT nithibitishie hili kama ni ukweli

kuwa slow ktk internet kunasababishwa na vtu vingi. kama kujaa kwa hard disk ni kama umezidisha sana mpaka pc inaleta notification kuhusu kujaa teena katika partition inayobeba OS. PIA kama ni Os ya mda mrefu teena kwa kutumia net huwa inafanya update labda znazofanya pc kuwa nzito. Unachotakiwa kufanya jarb modem katika computer nyingine ikiwa poa pakua os ya pc yk.

Hard disk imejaa kiasi cha kukosa hata space ya kuifadhi kitu chenye GB 4.
 
Desk top yangu inanisumbua kwenye interne t system, nikiweka modem inasumbua kwa ku-search mda mrefu, sasa kuna jamaa mmoja anayesomea IT akaniambia kuwa tatizo la internet kwenye computer yangu inachangiwa na kuhifadhi vitu vingi kwenye disk, hivyo naomba nithibitishiwe hili kama kuna ukweli ili nichukue hatua. na je ni nini vinasababisha internet kuwa slow?

kwa upande flani huyo jamaa yako alikuwa sahihi kwa sababu Pc kama ipo overloaded/imejaa sio tu inapunguza uwezo kwenye internet bali hata ktk matumizi tu ya kawaida. Inaweza hata kuchelewa ama kustaki kucheza Cd ambayo before ilikuwa ikicheza vizuri. Lakini kuthibitisha hilo, jiulize Pc yako imejaa kweli? Kama ndivyo, toa baadhi ya vitu futa au weka kwny Cd. Pia waweza kuongeza RAM ingawa nimeona hapo juu umesema RAM inafika hadi GB 1000 (sina uhakika sana kama kuna mtu binafsi ana PC ya RAM ya ukubwa huo Tanzania) na inelikuwa hivyo basi hilo tatizo huenda lisingekuwepo. Option nyingine ni kuclear caches, cookies na history sometimes huongeza speed kidogo
 
Nimekosea kwa kuongeza sifuri, ni kwamba RAM yangu ina GB mia saba na zaidi.

sio kweli mkuu ila hakuna comp yenye ram gb 7000 nyingi amabzo zimetoka hivi karibuni ambazo zina ram kubwa nyingi ni gb 8 so info yako ya gb sio kweli,ila kwa mujibu conversation niliyofuatilia most likely causes ya tatizo lako ni kujaa kwa pcfanya partiotion kama bado na hakikisha partition ambayo os ina gb 10 na kuendelea free space,au otherwise futa vitu upunguze ukishindwa piga os chini,weka nyingine
 
Kwa sababu tatizo lipo na halijajulikana kiini chake, ningeshauri ajaribu kufanya yafuatayo:
1. Ajaribu hiyo modem yake kwenye PC nyingine (ya rafiki yake) na aone kama ina- behave the same.
2. Kama anaweza pata modem nyingine ya airtel (ya rafiki yake) ajaribu kuitumia ktk PC yake na aone kama speed ni hivyo hivyo.

Lengo ni "solving the problem by elimination". Ikiishajulikana tatizo ni wapi basi itakuwa rahisi kupambana nalo.

best answer.
a trouble shooting a layman can perform.
 
Nimesoma michango ya watu ila tatizo lipo kwa Mleta Mada inaelekea haijua vema PC yake. Mleta Mada ungekuwa unajua Specs za PC yako ingesaidia sana.
 
Nimesoma michango ya watu ila tatizo lipo kwa Mleta Mada inaelekea haijua vema PC yake. Mleta Mada ungekuwa unajua Specs za PC yako ingesaidia sana.

Aliemjibu mwanzoni alianza vizuri akijua jamaa sio mtaalamu kwenye computer.huenda kwenli kacheki mashine yake akagundua mafile yamejaa au hard disk ndogo.
Huenda una file virus inayoreplicate files na kufanya pc yako iwe slow.

Huyo jamaa aliesema ni IT wa dunia gan sio vizuri kumdharau mwenzako huenda ww ndo uko shalow...

Hapo huenda kukawa na sababu kibao like hiyo modem haiko compatible na OS yake, computer ina virus, Hiyo modem haina salio , Computer yako ni ya zamani so specification zake ni ndogo,processor fan ina vumbi huenda inafanya cpu ichemke, sababu ziko nyingi mpaka mtu akucheki tu akupe solution nzuri
 
Aliemjibu mwanzoni alianza vizuri akijua jamaa sio mtaalamu kwenye computer.huenda kwenli kacheki mashine yake akagundua mafile yamejaa au hard disk ndogo.
Huenda una file virus inayoreplicate files na kufanya pc yako iwe slow.

Huyo jamaa aliesema ni IT wa dunia gan sio vizuri kumdharau mwenzako huenda ww ndo uko shalow...

Hapo huenda kukawa na sababu kibao like hiyo modem haiko compatible na OS yake, computer ina virus, Hiyo modem haina salio , Computer yako ni ya zamani so specification zake ni ndogo,processor fan ina vumbi huenda inafanya cpu ichemke, sababu ziko nyingi mpaka mtu akucheki tu akupe solution nzuri

yaah mm niko shallow ndo maana nikauliza ni wadunia gani yaani kasome nchi gani maana yuko deep ajabu
sijamprove right wala wrong ndo maana nikafuta usemi wangu
 
Desk top yangu inanisumbua kwenye interne t system, nikiweka modem inasumbua kwa ku-search mda mrefu, sasa kuna jamaa mmoja anayesomea IT akaniambia kuwa tatizo la internet kwenye computer yangu inachangiwa na kuhifadhi vitu vingi kwenye disk, hivyo naomba nithibitishiwe hili kama kuna ukweli ili nichukue hatua. na je ni nini vinasababisha internet kuwa slow?

Baada ya kutafiti nimeona usually GOOGLE is the search engine that will always lead you to sources of ino.
soln hii hapa


1.Eliminate needless programs. Your Internet connection requires memory to be able to be at the speed you are paying for. If your computer is bogged down by programs you don't need, your connection will be slower. Close programs you aren't using.
670px-Speed-up-a-Slow-Internet-Connection-Step-13.jpg


2
Do a virus and spyware scan. Viruses and spyware also use up memory which can contribute to a connection appearing slow. Run a thorough or complete scan of each even if you have it on and scanning. A regular scan will catch additional items. (See below if you need either of these programs for free virus and spyware scanning programs.)


670px-Speed-up-a-Slow-Internet-Connection-Step-14.jpg


3
Make sure you aren’t running two firewalls. These will interfere with each other and, in addition to posing security problems, also reduce your web performance. In particular, if you use Windows but have downloaded or purchased a separate firewall, double-check that you aren’t also running Windows Firewall (which is turned on as a default). Go to Search > Windows Firewall and, if necessary, hit Change Settings to turn it off.

4
Check your free space. If your hard drive is nearly full, take files you don't use often and either burn them to CD or DVD, place on an external hard drive, or delete them. Your computer uses free hard drive space as virtual memory, so a full hard drive will slow down your computer and your connection.

670px-Speed-up-a-Slow-Internet-Connection-Step-16.jpg


5
Run a disk defragmentation. This should be done once every two weeks. It will improve your overall performance which can only help your Internet connection.

616px-Speed-up-a-Slow-Internet-Connection-Step-17.jpg


6
Consider a computer upgrade. An older computer may not have the power to make use of many things on the Internet now. Even something as simple as a RAM (Random Access Memory) upgrade could help, but if your computer is more than five years old, it may be time to consider getting a newer model OR using a different operating system. Rolling back to an older windows version such as windows XP or trying out various Linux distributions, this often breaths life into an old computer. You can even get an OS that can boot directly to a browser if its the main thing you use it for (xPud, browserLinux, slitaz etc)!

670px-Speed-up-a-Slow-Internet-Connection-Step-19.jpg


7
Turn off your computer every night. Leaving your computer in standby mode without turning it on and off completely every day or so will tie up memory and can soon slow down your Internet speed.

8

Switch to a different browser. Some people use Internet Explorer, which, while a decent browser, does use a lot of resources. Moreover, as web pages become more advanced, the number of processes necessary to load them grows, meaning you’re usually better off with a browser that can be customized to cut back on ads and other non-essentials.
  • Firefox has many extensions that allow for the ability to block elements such as JavaScript, advertisements, Flash, and other things until you enable them. One critical add-on is Adblock Plus, which virtually eliminates ads from your surfing experience and speeds up load time considerably. You may also want to try the add-on Fasterfox Lite, which will give Firefox enhanced speed options.
  • Google Chrome, while new, uses very little memory and can also be good for sites that have a lot of JavaScript and Flash. You may also want to try the FastestChrome add-on.
  • Opera has compression technology, (Opera turbo) specially designed for slow network connections. This has proved very effective for many.

670px-Speed-up-a-Slow-Internet-Connection-Step-1.jpg


source: NIPE LIKE HAPA
 
Sawa mkuu nimekupata. vipi tatizo limefikia wapi mpaka sasa, tupe mrejesho.

Kwa bahati mbaya sikuweza kushughulia tatizo kwani nimepata dharura, nikirudi nitafanyia kazi ushauri na msaada uliotolewa na wana-IT hapa jukwaani.
 
sio kweli mkuu ila hakuna comp yenye ram gb 7000 nyingi amabzo zimetoka hivi karibuni ambazo zina ram kubwa nyingi ni gb 8 so info yako ya gb sio kweli,ila kwa mujibu conversation niliyofuatilia most likely causes ya tatizo lako ni kujaa kwa pcfanya partiotion kama bado na hakikisha partition ambayo os ina gb 10 na kuendelea free space,au otherwise futa vitu upunguze ukishindwa piga os chini,weka nyingine

Huenda mleta Mada anamaanisha PC yake ina HDD ya 700GB ila ajajua utofauti wa RAM na HDD

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
download network driver tena,, agalia network card yako ni ya aina gani,, kufanya hivyo nenda device manager,, ukishajua basi download drivers mahususi kwa card yako,, baada ya hapo remove the current driver and re install the new driver,,, na kama ikiendelea basi nunua card ,mpya

Aanze na network drivers wakati anatumia MODEM..mhhh!
 
Aanze na network drivers wakati anatumia MODEM..mhhh!

he!! wa kwetu kwani ukiwa na modem tu basi unachomeka computer yoyote hata kama haina network dard,, hujui network kad na drivers zake ndo zina host modem,,, mwe!!!!
 
Back
Top Bottom