The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
Desk top yangu inanisumbua kwenye interne t system, nikiweka modem inasumbua kwa ku-search mda mrefu, sasa kuna jamaa mmoja anayesomea IT akaniambia kuwa tatizo la internet kwenye computer yangu inachangiwa na kuhifadhi vitu vingi kwenye disk, hivyo naomba nithibitishiwe hili kama kuna ukweli ili nichukue hatua. na je ni nini vinasababisha internet kuwa slow?