Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 14,138
- 33,525
Unajua ni sehemu tu tuliyobakisha ambayo uwezo wa JF ndio uwezi kufanya kufungia comment na tukawapa makavu mfano wakina chiembe Lucas Mwashambwa ChoiceVariable MamaSamia2025 October 2pm Tlaatlaah Niko pamoja na Samia @nicholasmari said: na wajinga member wengine ambao wanasupport uwovu na kuigarimu taifa.
Ni kwamba wanajua maovu ambayo yanaendelea ila ni wanufaika ili waendelee kuishi duniani wache funge comment ila JF ndio wameshindwa.
Tanzania ndio nchi pekee nimeona page ya raisi na polisi zikifunga comment yani tumeizidi USA kwa teknolojia na jeshi namba moja duniani kuzidi GOMA.
Kwenye page mbali mbali za mitandao ya kijamii likionekana jambo la CCM wananchi ni kama wamechoka ni mwendo wa matusi,kejeli na malalamiko.
Sasa hawa wadudu chawa niliowataja wajiulize kipaumbele cha mama yao mzazi japo wajaziliwa kwao na kuibaka katiba kushiriki tena kipaumbele chake kuwa raisi mkifa ni kwamba maiti zenu msidaiwe hata mkikosa matibabu kisa pesa na mshangilie
Ni kwamba wanajua maovu ambayo yanaendelea ila ni wanufaika ili waendelee kuishi duniani wache funge comment ila JF ndio wameshindwa.
Tanzania ndio nchi pekee nimeona page ya raisi na polisi zikifunga comment yani tumeizidi USA kwa teknolojia na jeshi namba moja duniani kuzidi GOMA.
Kwenye page mbali mbali za mitandao ya kijamii likionekana jambo la CCM wananchi ni kama wamechoka ni mwendo wa matusi,kejeli na malalamiko.
Sasa hawa wadudu chawa niliowataja wajiulize kipaumbele cha mama yao mzazi japo wajaziliwa kwao na kuibaka katiba kushiriki tena kipaumbele chake kuwa raisi mkifa ni kwamba maiti zenu msidaiwe hata mkikosa matibabu kisa pesa na mshangilie