Borakufa
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 1,503
- 390
Wakiwa wanatoka katika Kata ya Ngarenanyiki wakielekea usa river wakitumia gari la mbunge wa musoma mjini V. Nyerere (Kiboko wa Mkapa) wanahabari watano wa dira ya Mtanzania,Tanzania Daima, Jambo leo, Sunrise Radio na Majira wamepata ajali! hawajaumia sana isipokuwa Grace Mbise Majira hali yake mbaya sana.
Sourse Sunrise Radio
Sourse Sunrise Radio