Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
mamaaaaaaaa!!........uuuuwiii!.....umepewa posho ya shilingi ngapi uje univurugie mipango ya harusi? Nataka nikulipe mara 100 ya hizo ulizolipwa na aliyekutuma namlipa kisha nawahamisha nchi kama sijawafunga maisha.unataka umfate babu seya!walah uhamtaja tu,nani mpenzi niletee hiyo machiner gun yangu nikuoneshe maana inanja.wewe Preta na Ivuga niliwakodisha miguu ya kuku naomba mlete haraka jeshi la Nato linataka kwenda kazini