SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,308
- 1,924
today is today
yes today is today! Lazima tujibrother canesugar kutetea mali za bro!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
today is today
salok
unajua najiuliza kwa nini shemeji yenu anidanganye?
Hebu aje afunguke mwenyewe.
Mawee......wafwa.....wangambira stupidi infront of JF members
Tuliza moyo wako,
hakuna mwingine.
Platozoom wa wapi bhana?
Dah huyu bintu noma
Nilimtuma?
Na yeye alivyonichakaza je?
Ngoma droo.
Nipo kwa Muhaya najilia vyangu.
We! We! We!
Unasemaje Shem?
Hii kitu sio Mchina ni Original tupu..!!
Au hajakuonesha picha zangu za utotoni.
Kwanza me nimezaliwa maghorofani.
Shem,tusitafutane ubaya.
Tatizo kaka a'ko hakuwa muwazi!!!!
gambachovu Mbona alipokuwa anakula vya kaka hakusema....kaka kafukuzwa kibarua ndiyo anajifanya hapendi....kwa mila zetu wabantu atalazimika kupenda.Bado mke wa mtu...Najua na wewe utakuwa mmoja watu walioshiriki kumuibaMbona kama imekula kwenu? Bidada hamtaki kaka yako,ila anakufagilia wewe kama shemeji yake. platozoom
bro anamachungu hawezi kuja hapa! Ila sa7bu ni kama alivyoimba 20% katika wimbo wa "money money!!" hebu sikiza huo wimbo kwanza upate msg kamili!
no!no!no!...mtarajiwa wangu wanamsingizia,huo wote ni wivu tu,mimi nilitoa karatasi ya silid mwenyewe
mmmmmmmh
SALOK
Unajua najiuliza kwa nini Shemeji yenu anidanganye?
Hebu aje afunguke mwenyewe.
We jifanye unajua kuicheza hii ngoma........utaunganishwa kwenye kesi usipoangalia
Mawee......wafwa.....wangambira stupidi infront of JF members
madame B umepata bahati ya kudondokewa na figganigga. kama wataendelea kukudanganya na kukusumbua usijisikie karaha wala usiwe na shaka ya kuniPM. Mia