Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
charminglady ile kitu imeshika? inabidi twende tukapime ..one month gone already
babe gal/babe boy is coming sooner..ahhahaaaha a what a joy!:clap2:
charminglady ile kitu imeshika? inabidi twende tukapime ..one month gone already
charminglady umeona watia sumu wameanza?charminglady ile kitu imeshika? inabidi twende tukapime ..one month gone already
Mpaka nawaonea donge.
Shemeji niko huku kusikokuwa na jina.
Shemeji,
Kaka yako aliniambia kuwa yeye ni Meneja wa CRDB Bank tawi la Millenium Tower.
Siku si nikaenda kwa kushtukiza,
lahaula lakwata.....!!!
Sikuamini macho yangu,
kwani nilimkuta yuko kifua wazi,jasho linamtoka,kachafuka vumbi mwili mzima yuko Parking anafagia na kufuta vumbi magari.
Shemeji,
Kaka yako simuhitaji.
Niko huku nakula bata kwa kwenda mbele.
Figganigga! Nini mbaya?
MadameB unamtaka!
Beibe Nasty unamtaka!
Jane tripe zero nae pia !
Fcbk una wake wa4.
Twitter unao wa3
hapa napo demand yako ndiyo hiyo!
Are you come from King Mswati clans or what ?
Unazo nanii mbili nini ? Sio moja such as normal ?
Shemeji nina zawadi yako nzuuuri nimekuandalia usiku wa leo.
Lakini usimwambie kaka a'ko.
Uifate saa 7 au 8 usiku.
Mkuu nasty nmekuachia baada ya kuona unachonga sana hadi ukaplan kuntoa mshipa. Niachie madame B bana. Huyu ndo size yangu. Safari hii naoa kabisa. Mia
mnamgombea shemeji....kweli dunia duara
Mkuu nasty nmekuachia baada ya kuona unachonga sana hadi ukaplan kuntoa mshipa. Niachie madame B bana. Huyu ndo size yangu. Safari hii naoa kabisa. Mia
figganigga apia kama kweli unataka kunioa.
Ila kabla ya yote naomba kujua yafuatayo:
1. Umeajiriwa au umejiajiri
2. Mshahara wako kwa mwezi Tsh ngapi?
3. Una magari mangapi?
4. Akaunti yako ina sh ngapi?
5. Nyumba yako umeipamba kwa nini,Tiles,Tanga stone,Vitofali au sakafu ya simenti
6. Matumizi yako kwa wiki ni sh ngapi?
7. Unavaa nguo 'made in wapi?
Mengine takuuliza baadae.
mimi nataka nikate mzizi wa fitina. Huyu madame B nimesha mwingiza kwenye plan ya 2012-2013. so kama alikuwa wao ni zamani sio sasa hivi. nmesha kuja mwenyewe. Mia
we nae unatokea wap?...mi watu bwana nimpendezeshe mpenzi wangu vimacho kodokodo.ntakugeuza vocha ooh!
mimi nataka nikate mzizi wa fitina. Huyu madame B nimesha mwingiza kwenye plan ya 2012-2013. so kama alikuwa wao ni zamani sio sasa hivi. nmesha kuja mwenyewe. Mia
Kwa hiyo na wewe unataka umwage damu............ Madame B ni wetu na atabaki kuwa shemeji yangu..full stop...by the way nina mkutano naye usiku huu saa 7.