Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
- Thread starter
- #61
kwani ndugu kuna mtu kataja kuwa yeye ni cdm au kwa woga wako unaona ucdm?ndo ivo kama unaogopa gizani ata ukiona mti unaanza kujiuliza kuwa ama umeona shetani,au muujiza au jini refu,ni uoga tu...hata usemeje,hautaweza kutarnish image ya cdm kwa kutuhusisha sisi na cdm,hata cdm ikifa leo bado tutazidi kupinga udhalimu...watoto wa wakulima tumepata elimu kwa tabu na hatutaacha
Hueleweki ndugu, unakwenda kwa mwendo na mbwembwe za tractor aina ya power tiler. Kelele kubwa lakini kasi hakuna. Unachanganya mambo mengi kwa wakati mmoja. Naomba upumzishe akili, tuonane kesho.