Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
kina pinda + kiroboto a. k.a anna malinda na njaa yenu ya posho,mtaujua jk na bado mtageukana sana
Bora wangeishia kugeukana wanafika mbali zaidi kwakuanza kulishana sumu
kina pinda + kiroboto a. k.a anna malinda na njaa yenu ya posho,mtaujua jk na bado mtageukana sana
Mimi nijuavyo mtu umri ukienda sana anakuwa mzee,na nguvu za kufanya kazi ngumu zinapungua kwa kiasi kikubwa,hivyo basi usisherekee babu yako kufanya birthday maana siku zake ndio zinaishiria hivyo,BYE BYE BABU CCM.
kwani ndugu juma au ndugu kichaa kama ulivojiita kwenye thread hii unalinganisha cdm na ccm?unataka kusema kuwa kuishi kwingi ndo ujiniasi au?basi babu yangu kwa sasa angekuwa injia wa roketi-maana ni mzee wa miaka85...pia juma kwani kwenu kinyesi mnajipakaga?maana ni maneno ya aibu unaleta...kajipande...nasema kuwa umetumwa kama ulivotangulia kusema...
Yaan the way wanavyo reply us thread inaonesha wazi gonjwa ulilolisema kweli limeshawaadhiri hata ARV hazina uwezo wa kurefusha fahamu zao!
Sijatumwa na mtu kusema haya. Nimejituma mwenyewe. Hapo natoa jibu la post ya kwanza kutoka kwa mashabiki wa CDM. Wala sijapokea bahasha kama kauli mbiu yenu humu isemavyo.
Najua kuwa, Viongozi wa CDM hasa Mnyika, ni watu makini sana. Wanajua nini wanafanya katika vita ya kumkomboa Mtanzania. Nawaunga mkono mia kwa mia. Sasa kimbembe ni kwa mashabiki wa chama, sina hakika kama wote wanaopiga kelele ni wanachama hai au la.
Lakini wanahitaji semina na ushauri nasaha, wapate mfundo wa kuacha hasira, jazba, chuki, hamaki, ukali na kejeli wanapoambiawa ukweli. Lazima watambue kuwa vyama navyo vina kifo, na vifo vingine hutokea ghafla kama kile cha CUF. Kwani walikuwaje wale jamaa? Sasa hivi wako wapi? Msibweteke na mafanikio ya chama kwa sasa!
Kumbukeni kuwa ndio kwanza bado kinatambaa. Wenzenu wanasherekea miaka 35, umri wa mtu mwenye mjukuu. Nyie je? Mingapi! Msitukane wakunga wakati uzazi bado ungalipo.
Kubalini ushauri, na kukosolewa pia. Mtu akikucheka, usimtukane. Jitazame kwani unaweza kuwa umejipakaza kinyesi. Na siku zote kichaa akikwambia "nyoka huyoo" usipuuze! Anaweza kuwa nyoka kweli kwani kichaa naye ana macho japo akili zake zimekaa upande...
Mkuu mzee 6 aliwahi kulambwa bakora! Ndio maana ana uchungu.Kuna mzee mmoja aliniambia kwamba miaka ya 60 Samweli Sitta na wenzake wakiwa wanafunzi wa UDSM waliandamana wakiwa na mabango kuelekea ikulu kupinga mpango wa serikali kuwataka wanafunzi wa vyuo vikuu kupitia mafunzo ya JKT.Walikuwa hoja nyingi za msingi likiwemo hilo lakini katikati yao akachomekwa mtu wa usalama aliebeba bango linalokashfu serikali...na hiyo ikawapa serikali sababu ya kuwaaachia waingie ikulu na Mwalimu Nyerere akawalamba viboko.
Nachosisitiza hapa ni kuwa ni vizuri pia kusikiliza upande mwingine wa shilingi hata kama hoja hukubaliani nayo...lakini kinachonishtua ni namna watu wanaotoa maoni ya kukisaidia CDM wanavyoshambuliwa kwa maneno ya kejeli na dharau kana kwamba hiki ni chama cha watu wasiofanya makosa.....Na hili linanishawishi kuamini kuwa miongoni mwa watu wanaokisapoti kuna mamluki,ambao hutoa maneno ya kejeli kuonyesha wanakipenda chama kumbe wanakipaka sifa mbaya ya kukionyesha ni chama kisichokubali kukosolewa.
Haiwezekani iletwe hoja hapa halafu wanaokiunga mkono karibia wote watoe maneno ya kuponda tu bila kujadili hoja.Mtatuharibia chama na kikaonekana ni cha watu wasio kuwa na busara na wanaokurupuka.Hata miongoni mwa viongozi wa CDM wanatofautiana kwa mawazo na hoja lakini hatuwasikii wakipigana vijembe. Tafadhali viongozi muwe mnapita humu kusafisha hali ya hewa.
Kuna mzee mmoja aliniambia kwamba miaka ya 60 Samweli Sitta na wenzake wakiwa wanafunzi wa UDSM waliandamana wakiwa na mabango kuelekea ikulu kupinga mpango wa serikali kuwataka wanafunzi wa vyuo vikuu kupitia mafunzo ya JKT.Walikuwa hoja nyingi za msingi likiwemo hilo lakini katikati yao akachomekwa mtu wa usalama aliebeba bango linalokashfu serikali...na hiyo ikawapa serikali sababu ya kuwaaachia waingie ikulu na Mwalimu Nyerere akawalamba viboko.
Nachosisitiza hapa ni kuwa ni vizuri pia kusikiliza upande mwingine wa shilingi hata kama hoja hukubaliani nayo...lakini kinachonishtua ni namna watu wanaotoa maoni ya kukisaidia CDM wanavyoshambuliwa kwa maneno ya kejeli na dharau kana kwamba hiki ni chama cha watu wasiofanya makosa.....Na hili linanishawishi kuamini kuwa miongoni mwa watu wanaokisapoti kuna mamluki,ambao hutoa maneno ya kejeli kuonyesha wanakipenda chama kumbe wanakipaka sifa mbaya ya kukionyesha ni chama kisichokubali kukosolewa.
Haiwezekani iletwe hoja hapa halafu wanaokiunga mkono karibia wote watoe maneno ya kuponda tu bila kujadili hoja.Mtatuharibia chama na kikaonekana ni cha watu wasio kuwa na busara na wanaokurupuka.Hata miongoni mwa viongozi wa CDM wanatofautiana kwa mawazo na hoja lakini hatuwasikii wakipigana vijembe. Tafadhali viongozi muwe mnapita humu kusafisha hali ya hewa.
Mkuu mzee 6 aliwahi kulambwa bakora! Ndio maana ana uchungu.
Mkuu umenena kweli, wapenzi wa CDM wana mahaba kiasi kwamba penye chongo wao wanaona ni kengeza tu!
Ushauri. Hujaelewa nini sasa! Inamaana wewe hata mtu akikushauri huelewi?
Kuanzia leo watoa kashfa wote, wale ambao wanajibu upuuzi badala ya hoja. Wataitwa PANDIKIZI wa CCM ndani ya CDM.
Umemaanisha nini?
Unachokilenga sijakielewa mkuu.mm napenda pale chama kinapokosea kikosolewe ili kirekebishike.lakini pia unapotoa lawama toa na mfano halisi ningekuunga mkono kama ningeona mfano hata 1 wakile chadema walichokosea wakaambiwa alafu mashabiki wakaleta matusi.kinyume na hayo ni haki ukiambiwa umetumwa
juma kidogo,narudia umetumwa,haiwezekani ukaleta mada ya kimbumbumbu kama ulivoniita...tangu niwepo jf hujawahi kuleta constructive idea kwa chama pinzani...ivi ni kwa lipi tuendelee kuwa na ccm kama point of reference wakati imejaa mafisadi na matapeli waliolipeleka taifa kubaya... wewe pamoja na wenzako hamna moral authority kuweza kuwa kwenye frontline kutolewa mfano...ndugu unatoaje mifano bila substance?acha kuogopa kivuli chako...
chatumkali... ndugu ivi ukisoma mada ya jumakidogo said:Ndiyo maana nimekwambia hujaielewa hiyo thread hapo. Sikuwa na lengo la kukosoa. Nimetoa ushauri namna mnavyotakiwa muwe.