Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,050
- 748
Ndugu zanguni,
Unajua katika maisha lazima uwe na plan B. Sote tunajua uchaguzi wa 2015 makamanda wanategemea kula bata kinoma kwani wanategemea watashinda na kuchukua ikulu kilaiiniii.
Mimi napenda tu kuwa uliza makamanda swali moja tu wajemeni.
MNA MPANGO GANI BAADA YA UCHAGUZI 2015?
Ningependa kuwashauri vijana wenzangu muanze kuandaa maisha yenu sasa kwani 2015 wengi mnaweza kujiua au kupatwa na uchizi kwani ni dhahir Chadema itaanguka vibaya nafasi ya nne nyuma ya CU na NCCR.
Makamanda wengi wameacha kazi zao za kila siku na matokeo yake wameamua kujikita kwenye huu mradi wa Dj unaoitwa M4C wakitegemea kuula hapo 2015 wakati wenzao wanatumia ruzuku kujijengea majumba na kujitayarishia maisha ya pensheni baada ya 2015
Pia nawashauri wale wenye plan C kuanza kununua kabisa kamba za kujinyongea na sumu ya panya kwani bidhaa hizi zitakuwa adimu sana 2015
JITAMBUE
Unajua katika maisha lazima uwe na plan B. Sote tunajua uchaguzi wa 2015 makamanda wanategemea kula bata kinoma kwani wanategemea watashinda na kuchukua ikulu kilaiiniii.
Mimi napenda tu kuwa uliza makamanda swali moja tu wajemeni.
MNA MPANGO GANI BAADA YA UCHAGUZI 2015?
Ningependa kuwashauri vijana wenzangu muanze kuandaa maisha yenu sasa kwani 2015 wengi mnaweza kujiua au kupatwa na uchizi kwani ni dhahir Chadema itaanguka vibaya nafasi ya nne nyuma ya CU na NCCR.
Makamanda wengi wameacha kazi zao za kila siku na matokeo yake wameamua kujikita kwenye huu mradi wa Dj unaoitwa M4C wakitegemea kuula hapo 2015 wakati wenzao wanatumia ruzuku kujijengea majumba na kujitayarishia maisha ya pensheni baada ya 2015
Pia nawashauri wale wenye plan C kuanza kununua kabisa kamba za kujinyongea na sumu ya panya kwani bidhaa hizi zitakuwa adimu sana 2015
JITAMBUE