Wana CHADEMA mna mpango gani baada ya uchaguzi 2015?

Wana CHADEMA mna mpango gani baada ya uchaguzi 2015?

mpango wa cdm baada ya 2015 ni kuwatumikia watanzania , kufufua uchumi wa nchi hasa baada ya ushindi wa kishindo ! Maana mbinu ya wenzetu ya kutafuta hela za rushwa kwa kuuza unga imebainika , ununuzi wa shahada umekwama , lazima waangukie pua .
 
Kwakua umezoea kuliwa bac unaanza kujiuzur ishu ya chama ni ya m2binafsi hata ckumoja uwez ukawa ndan ya msitu ukasema unaona msitu zaid utaona miti tafakal na uchukue hatua ni kwel bora lakn kicho bora ndyo 2naktaka.
 
Mkuu chama,

Kwa kuangalia sura za hawa watoto unaweza kuniambia ni wa mkoa gani?
Moshi ARUSHA HIYO

Yaani unashindwa kuona huyo mrefu ni mdogo wake NASSARI?, angalia tumeno
 
Mkuu hizi type za kiarusha hizi mpaka gun zinashika umri huo
Mkuu chama,

Kwa kuangalia sura za hawa watoto unaweza kuniambia ni wa mkoa gani?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom