Matumona
JF-Expert Member
- May 30, 2018
- 313
- 434
Enyi wana CCM wenzangu ni wakati sasa tutulie na tuache siasa zipite maana ni wakati wa kuyaishi tulioyachagua. Tusianze chuki na kubehi kwa ndugu zetu wa upinzani na kuwaringishia kuwa tumewanyoosha vilivyo kwenye matokeo ya uchaguzi huu wa 2020.
Ni wakati sasa wa kuungana na kuyaishi maisha kwa upendo na mshikamano kama ilivyokuwa jadi yetu Watanzania. Haina maana kumsimanga mwana upinzani kuwa ataisoma namba wakati vitu vifuatavyo tutavionja kwa usawa kabisa ikiwa haijalishi wewe ulichagua chama gani:
1. Sukari 2800 Tsh @ 1kg
2. Unga 1000 Tsh@ 1kg
3. Umeme 230 Tsh @ kWh
4. Nakadharika nakadharika
Hivyo tuache maisha yetu yaendelee na tuishi kwa amani na upendo.
Ni wakati sasa wa kuungana na kuyaishi maisha kwa upendo na mshikamano kama ilivyokuwa jadi yetu Watanzania. Haina maana kumsimanga mwana upinzani kuwa ataisoma namba wakati vitu vifuatavyo tutavionja kwa usawa kabisa ikiwa haijalishi wewe ulichagua chama gani:
1. Sukari 2800 Tsh @ 1kg
2. Unga 1000 Tsh@ 1kg
3. Umeme 230 Tsh @ kWh
4. Nakadharika nakadharika
Hivyo tuache maisha yetu yaendelee na tuishi kwa amani na upendo.