Wana CCM wanaoweweseka na Lowassa

Wana CCM wanaoweweseka na Lowassa

Kwani Nchi inaongozwa kwa kunyanyua tofali, Kama ni hivyo basi yumpe Fransis Cheka maana anafanya mazoezi kila siku, au apewe January Makamba maana ndiyo yuko fit kiafya (Kwa kuangalia) kuliko wagombea wote. Ndiyo maana tunasema unapochangia masaburi weka pembeni, nchi inaongozwa kwa Utashi/Akili/kusikiliza na maamuzi magumi. Kwenye WWE ndiyo wanahitaji watu wenye nguvu kama kina Big Shoo
Mmeshakuwa brais washed na mapesa yake, ndio maana mnadhani akikaa pale ikulu mtaendelea kuyapata. Amuenimkwa mistakabali wa taifa sio kwa kuangalia mlipewa sh ngapi. Au ndo mnataka figure tu, mbona hata akili yenyewe ishaanza kuisha, mtu ili ale chakula lazima avishwe bibu kaa mtoto mdogo, hayo maamuzi atakuwa anatoa nyie mnamsainia au itakuwa vi, au hujui kuwa hata kushika kikombe cha chai kwake ni issue?
 
hii ni topiki ya kipuuzi kabisa. Kama huna topiki ya maana nyamaza kimya kuliko kuandika utumbo
 
Kwa lowassa kuwa Rais kuna ubaya gani? si haki yake kikatiba akitaka kugombea.Mwacheni mzee wa watu.Kwanza hajatangaza kama wengine.Suala la afya yake,si madaktari wapo, je wamemshauri asigombee? Tuache kumuandama.Ikifika wakati cha chake kikitangaza utaratibu yatajulikana tuu yote. Kuliko kumuandama,wagombea wengine hamuwaoni? kila siku lowassa lowassa ni tishio nini.
 
Kwa lowassa kuwa Rais kuna ubaya gani? si haki yake kikatiba akitaka kugombea.Mwacheni mzee wa watu.Kwanza hajatangaza kama wengine.Suala la afya yake,si madaktari wapo, je wamemshauri asigombee? Tuache kumuandama.Ikifika wakati cha chake kikitangaza utaratibu yatajulikana tuu yote. Kuliko kumuandama,wagombea wengine hamuwaoni? kila siku lowassa lowassa ni tishio nini.

Lowassa kuwa rais kuna ubaya mkubwa sana wahache mtanufaika ila sisi wengi mfano Mimi, Poul Makonda na Nape Mnawiye tutaumia
 
hii ni topiki ya kipuuzi kabisa. Kama huna topiki ya maana nyamaza kimya kuliko kuandika utumbo

Siyo utumbo, kumweka mwizi katika meza kuu ni utumbo, kweli mwizi akabidhiwe ikulu ni utumbo?
 
Lowasa labla akagombea uraisi wa FIFA
 
Lowassa haendi popote mwizi mkubwa.rais ajaye katulia kimya hapigi domo wala kutoa rushwa kama fisadi lowassa.
 
Hapo kwenye afya sikuungi mkono kwani Mungu ndo anapanga siku ya kuondoka watu wake pale atakapo wahitji
 
Mgombea anayetumia fedha kununua uongozi ni wa kumuogopa kama ukoma.lowasa ni wa kuogopa kama ukoma yani hafaiiii
 
kumbe huna hoja...unahukumu kana kwamba wewe ni Muumba...
Mwadhama Policarp kadrinali Pengo huyu ambae askofu wake amemzika Komba kwa heshima zote za kanisa Katoliki la Roma nae wa kukaa umsikilize? Wakati Komba alikuwa na kikwazo kwenye canon law
 
Sasa kama mpaka katibu anamsifia...wewe ni nani kuandika upuuzi huu...afya na umri wake unaujua ww? Andiken facts achen kutochosha na maneno ya vichwa vitupu
 
Athari za viroba naziona sasa.....bora vipigwe marufuku tuepukane na pumba km hizi.
 
Lowassa ndiye rais wa Tz mwaka huu kama hamwamini muulizeni nape juzi alisema akimaliza ziara atarudi monduli kuja kupumzika hakuamini alichokikuta kule na sasa anahaha kujirudi kwa mzee.ole wake makonda na wengine
 
Mkuu kwa Ccm yenu sio Lowasa tu ambaye hafai kuwa Rais.Kama kweli tunafuata misingi ya Mwl Nyerere ya kuikataa Rushwa kwa viongozi wetu niambie ninani Ccm ambaye hajawahi na hatoi rushwa?.Kama tunasema Fitina ni mwiko na anayefanya hivyo kwa kunufaika na fitina nasi tumuogope kama ukoma na hafai kuwa kiongozi wetu,ninani ndani ya Ccm ambaye hahusiki na fitina,chuki naubinafsi?.Ndio mana nasema huko Ccm hakuna hata mmoja mwenye nafuu ila mnazidiana nguvu za maovu kulingana nauchumi wenu!

Hapo naunga mkono hoja ccm wote ni rushwa tupu iweje kila uchwao lowassa tu
 
Tanzania ina watu wengi tu wenye uwezo wa kuwa rais ikiwa taasisi ya uraisi itawekwa sawa katika katiba. hoja kuwa X ndiye pekee anafaa ni ushabiki ambao hauna faida kwa sababu si wote watasema X anafaa. X si Mungu au malaika kwa hivo tusubiri na tuwe wapole kwa sasa.
 
Kila SIKU NINASEMA NA NITAENDELEA KUSEMA--LOWASA AKIWA RAIS WA NCHI HII, MI NTAHAMIA SOUTH SUDAN.

I TELL YOU THE TRUTH
 
Back
Top Bottom