Magazeti yaleo hasa Nipashe imebeba ujumbe wa wana CCM kwa makundi wakiomba Lowassa achukue form ya kugombea urais na wengine kumchangia kabisa sh million mbili kwa ajili ya kuchukua form hiyo.
Hakika wanaCCM hawa wanaweweseka kwani Lowassa hafai kuwa rais kwa sababu kuu 2
Hakika wanaCCM hawa wanaweweseka kwani Lowassa hafai kuwa rais kwa sababu kuu 2
- Mtu anayejitajirisha kwa kutumiaofisi ya umma hafai kuwa kiongozi kwa sababu siyo mfano wa kuigwa( a role model), hakuna kitu kinaitwa utajiri wa asili, hata akiuza ngombe zake zote na za wamasai wengine hawezi kununua nyumba London.
- Pili umri ule na afya ile niyakumalizia urais , siyo kuanza urais.