Wana CCM na simulizi za Charles Njonjo......

Wana CCM na simulizi za Charles Njonjo......

Paka 2025 atang'ang'ania kwa kisingizio chakunyoosha nchi.

Mwafaaaaaaaaa!

ccm mbele kwa mbele.
 
Mtamaliza misemo na mneno yote muyajuayo Dunia hii, lkn CCM ni Chama Dola, kuna sababu kwa nini kinaitwa hivyo, na itabakia hivyo!
Hakuna anayebisha kwamba CCM ni chama Dola. kinachoongelewa hapa, kwa taarifa, na kwa lugha rahisi, ni kwamba huyo jamaa aliyeshika usukani wa hilo CHAMA DOLA, anawashughulikia wanaccm kwa kutumia hiyo hiyo DOLA, na hawana cha kumfanya. yaani kinachoonekana sasa hivi ni kwamba kumbe hili chama dola linakata kila upande, linakula hata watoto wake. naona limeshatoka kwenye uchama dola, limekuwa CHUNUSI
 
Hakuna anayebisha kwamba CCM ni chama Dola. kinachoongelewa hapa, kwa taarifa, na kwa lugha rahisi, ni kwamba huyo jamaa aliyeshika usukani wa hilo CHAMA DOLA, anawashughulikia wanaccm kwa kutumia hiyo hiyo DOLA, na hawana cha kumfanya. yaani kinachoonekana sasa hivi ni kwamba kumbe hili chama dola linakata kila upande, linakula hata watoto wake. naona limeshatoka kwenye uchama dola, limekuwa CHUNUSI
Hakuna anayebisha kwamba CCM ni chama Dola. kinachoongelewa hapa, kwa taarifa, na kwa lugha rahisi, ni kwamba huyo jamaa aliyeshika usukani wa hilo CHAMA DOLA, anawashughulikia wanaccm kwa kutumia hiyo hiyo DOLA, na hawana cha kumfanya. yaani kinachoonekana sasa hivi ni kwamba kumbe hili chama dola linakata kila upande, linakula hata watoto wake. naona limeshatoka kwenye uchama dola, limekuwa CHUNUSI


Umemuelewesha vizuri na bado hataelewa
 
Umenikumbusha Al-Maarufu Charles Njonjo.

Charles Njonjo alikuwa na suti zake matata sana za Savile Row, mtaa wa kushonesha suti za bei mbaya kabisa hapo London.

Suti maalum za kushonesha ilikuwa ukiziangalia kwa karibu sana unaona zimepigwa chata ya herufi za kwanza za majina yake CN for "Charles Njonjo".

Nyerere alikuwa haachi kumuona kituko.
 
Umenikumbusha Al-Maarufu Charles Njonjo.

Charles Njonjo alikuwa na suti zake matata sana za Savile Row, mtaa wa kushonesha suti za bei mbaya kabisa hapo London.

Suti maalum za kushonesha ilikuwa ukiziangalia kwa karibu sana unaona zimepigwa chata ya jina lake "Charles Njonjo".

Nyerere alikuwa haachi kumuona kituko.

Nyerere mjamaa huyu Njonjo alikuwa bepari
 
Katika simulizi nyingi za vituko vya viongozi wa kiafrica ...moja ya kuvutia inamhusu Charles Njonjo..wa Kenya......

Huyu mtu alikuwa na nguvu si mchezo....licha ya kuwa tu ni waziri wa sheria tu...lakini
ukaribu wake na kuaminiwa kwake na Kenyata ilisababisha awe na nguvu si kawaida..
aliogopewa......kupita hata Kenyatta....alikuwa na jeuri ya kumfungulia kesi yeyote asiempenda

Kwenye kilele chake cha 'power' inadaiwa aliwahi kumzaba vibao makamu wa Rais wakati huo

Daniel Arap Moi....na still Moi alipokuwa Rais akamteua huyu huyu Njonjo kuwa waziri
hadi alipojiuzulu kwa tuhuma za kutaka kumpindua huyo huyo Moi....

Njonio pia anatuhumiwa 'kuvunja' East Africa Community ...sababu Kenyata alikuwa
ama 'amechoka' na hana maamuzi au tu 'kampa too much power' huyu Njonjo.....

Nyerere aliwahi kunukuliwa kusema alipoenda kuongea na Kenyatta kuhusu EAC alishangaa
Kenyatta anasinzia sinzia tu na Njonjo ndo alikuwa anazungumza na kutoa maamuzi......

Sasa simulizi ya kusisimua kuliko yote ya Njonjo ni siku alipokubali makamu wa Rais Moi
aapishwe kuwa Rais baada ya Kenyatta kufariki akiamini kabisa Moi atakuwa 'Rais asie na nguvu na yeye atakuwa ndo de facto President' huku akisubiri timing tu 'awe Rais kamili'...

Baba yake mzazi Njonjo alimpa mfano mwanae Charles....kwa kuwarushia paka vipande vya nyama..
halafu akamwambia 'je unaweza kuwanyanga'nya hawa paka hivi vipande vya nyama'?

Jibu lilikuwa wazi kabisa...'haiwezekani'

Paka ukishampa nyama ndo basi tena,kumnyanga'nya sio shughuli nyepesi...lazima mkubali kuparuriwa na kujeruhiwa....

Huo ndo ukweli ......


Sasa mfano huu ndo unawakumba sasa wana CCM.....

wao waliamini mradi Rais ni mwana CCM tu mwenzao basi chama ndo kitakua na nguvu
na sauti ya mwisho.....na Rais atadhibitiwa na chama.....wao chama hata kifanyaje ni sawa

Lakini sasa tunashuhudia kumbe ni tofauti ....hata ukiwa mwana CCM unaweza
kuwa 'arrested' kwa kuwa tu na mawazo tofauti...

na kumbe mtu mmoja anaweza kufanya 'analotaka' na chama kisimfanye lolote
nidhamu ya woga ikatawala........hatimae wale waliompa Paka vipande vya nyama...
wanagundua ukweli mchungu......Paka keshakamata nyama...na mwenye ubavu wa kumnyang'anya ajitokeze...............alisema Nyerere 'Kigumu chama cha Mapinduzi'...

Mkuu The Boss, heshima mbele! Yaani umenikumbusha mbali sana kuhusu huyu jamaa Charles Njonjo. mimi nakumbuka ile story aliyosema kwamba hawezi kupanda ndege ambayo pilot wake ni mtu mweusi, yeye anataka Pilot mzungu tu!
Umenena haswa, kwamba Paka ukishampa nyama tu, urafiki umekwisha, mpaka amalize kula hiyo nyama, ndio atakutazama kwa matumaini na unyenyekevu. Ila hii haiwahusu CCM tu, inatuhusu watanzania wote. Najaribu kujiuliza, hivi Magufuli atakapoanza kupiga kampeni ya kuomba awamu ya pili, atapiga tena pushup? maana sasa hivi ameshika nyama, anaunguruma tu kwa ukali. ikiisha nyama atakuwa mpole?
 
Mkuu The Boss, heshima mbele! Yaani umenikumbusha mbali sana kuhusu huyu jamaa Charles Njonjo. mimi nakumbuka ile story aliyosema kwamba hawezi kupanda ndege ambayo pilot wake ni mtu mweusi, yeye anataka Pilot mzungu tu!
Umenena haswa, kwamba Paka ukishampa nyama tu, urafiki umekwisha, mpaka amalize kula hiyo nyama, ndio atakutazama kwa matumaini na unyenyekevu. Ila hii haiwahusu CCM tu, inatuhusu watanzania wote. Najaribu kujiuliza, hivi Magufuli atakapoanza kupiga kampeni ya kuomba awamu ya pili, atapiga tena pushup? maana sasa hivi ameshika nyama, anaunguruma tu kwa ukali. ikiisha nyama atakuwa mpole?

Magufuli anatoa maswali ya kila aina

maswali kwa watanzania..

maswali kwa wana CCM

maswali kwa katiba tuliyonayo

maswali kwa wasomi na kadhalika

Sikutegemea mtu kama Ayubu Rioba kupokea 'amri na maagizo' kutoka kwa mtu kama Paul Makonda
but it is happening.....
 
Magufuli anatoa maswali ya kila aina

maswali kwa watanzania..

maswali kwa wana CCM

maswali kwa katiba tuliyonayo

maswali kwa wasomi na kadhalika

Sikutegemea mtu kama Ayubu Rioba kupokea 'amri na maagizo' kutoka kwa mtu kama Paul Makonda
but it is happening.....
Kwa hiyo tuseme Makonda ndiyo Tanzanian version ya Charles Njonjo? atapungukiwa kwenye elimu. ila hayo makeke, hashindwi hata kumzaba kibao nanihii...
 
Kwa hiyo tuseme Makonda ndiyo Tanzanian version ya Charles Njonjo? atapungukiwa kwenye elimu. ila hayo makeke, hashindwi hata kumzaba kibao nanihii...

Hii nchi mkuu ni tuiombee tu
mengi yanayotokea sasa ni unbelievable
 
Katika simulizi nyingi za vituko vya viongozi wa kiafrica ...moja ya kuvutia inamhusu Charles Njonjo..wa Kenya......

Huyu mtu alikuwa na nguvu si mchezo....licha ya kuwa tu ni waziri wa sheria tu...lakini
ukaribu wake na kuaminiwa kwake na Kenyata ilisababisha awe na nguvu si kawaida..
aliogopewa......kupita hata Kenyatta....alikuwa na jeuri ya kumfungulia kesi yeyote asiempenda

Kwenye kilele chake cha 'power' inadaiwa aliwahi kumzaba vibao makamu wa Rais wakati huo

Daniel Arap Moi....na still Moi alipokuwa Rais akamteua huyu huyu Njonjo kuwa waziri
hadi alipojiuzulu kwa tuhuma za kutaka kumpindua huyo huyo Moi....

Njonio pia anatuhumiwa 'kuvunja' East Africa Community ...sababu Kenyata alikuwa
ama 'amechoka' na hana maamuzi au tu 'kampa too much power' huyu Njonjo.....

Nyerere aliwahi kunukuliwa kusema alipoenda kuongea na Kenyatta kuhusu EAC alishangaa
Kenyatta anasinzia sinzia tu na Njonjo ndo alikuwa anazungumza na kutoa maamuzi......

Sasa simulizi ya kusisimua kuliko yote ya Njonjo ni siku alipokubali makamu wa Rais Moi
aapishwe kuwa Rais baada ya Kenyatta kufariki akiamini kabisa Moi atakuwa 'Rais asie na nguvu na yeye atakuwa ndo de facto President' huku akisubiri timing tu 'awe Rais kamili'...

Baba yake mzazi Njonjo alimpa mfano mwanae Charles....kwa kuwarushia paka vipande vya nyama..
halafu akamwambia 'je unaweza kuwanyanga'nya hawa paka hivi vipande vya nyama'?

Jibu lilikuwa wazi kabisa...'haiwezekani'

Paka ukishampa nyama ndo basi tena,kumnyanga'nya sio shughuli nyepesi...lazima mkubali kuparuriwa na kujeruhiwa....

Huo ndo ukweli ......


Sasa mfano huu ndo unawakumba sasa wana CCM.....

wao waliamini mradi Rais ni mwana CCM tu mwenzao basi chama ndo kitakua na nguvu
na sauti ya mwisho.....na Rais atadhibitiwa na chama.....wao chama hata kifanyaje ni sawa

Lakini sasa tunashuhudia kumbe ni tofauti ....hata ukiwa mwana CCM unaweza
kuwa 'arrested' kwa kuwa tu na mawazo tofauti...

na kumbe mtu mmoja anaweza kufanya 'analotaka' na chama kisimfanye lolote
nidhamu ya woga ikatawala........hatimae wale waliompa Paka vipande vya nyama...
wanagundua ukweli mchungu......Paka keshakamata nyama...na mwenye ubavu wa kumnyang'anya ajitokeze...............alisema Nyerere 'Kigumu chama cha Mapinduzi'...
Wewe ni LICHADEMA tu, CCM hatuna Mawazo ya Ovyo Ovyo kama hayo, M/kiti wetu Taifa hana ubaguzi, hana uonevu, hana chuki na mwanachama yeyote, Kumbuka Li-Mbowe lenu si lilibadiri hadi Katiba ili litawale milele baada ya kuondoa kile kifungu cha kuongoza miaka mitano mitano na ikifikia 10, basi kiongozi huyo haruhusiwi tena kugombea hata kama atakuwa anapendwa kiasi gani. Lakini yeye kutokana na Uroho wa madaraka na Udikiteta alikiondoa. Sasa Leo wewe badala ya kuongelea tatizo hili kubwa, unahangaika na CCM. Anyway, hangaika ili utimize ushahidi wa malipo yako.
 
Duh hii hadisi kweli imeshililiwa vizuri na Mbowe, yaani yeye hata hilo wazo la kugawa nyama hataki hata kulisikia.
 
Katika simulizi nyingi za vituko vya viongozi wa kiafrica ...moja ya kuvutia inamhusu Charles Njonjo..wa Kenya......

Huyu mtu alikuwa na nguvu si mchezo....licha ya kuwa tu ni waziri wa sheria tu...lakini
ukaribu wake na kuaminiwa kwake na Kenyata ilisababisha awe na nguvu si kawaida..
aliogopewa......kupita hata Kenyatta....alikuwa na jeuri ya kumfungulia kesi yeyote asiempenda

Kwenye kilele chake cha 'power' inadaiwa aliwahi kumzaba vibao makamu wa Rais wakati huo

Daniel Arap Moi....na still Moi alipokuwa Rais akamteua huyu huyu Njonjo kuwa waziri
hadi alipojiuzulu kwa tuhuma za kutaka kumpindua huyo huyo Moi....

Njonio pia anatuhumiwa 'kuvunja' East Africa Community ...sababu Kenyata alikuwa
ama 'amechoka' na hana maamuzi au tu 'kampa too much power' huyu Njonjo.....

Nyerere aliwahi kunukuliwa kusema alipoenda kuongea na Kenyatta kuhusu EAC alishangaa
Kenyatta anasinzia sinzia tu na Njonjo ndo alikuwa anazungumza na kutoa maamuzi......

Sasa simulizi ya kusisimua kuliko yote ya Njonjo ni siku alipokubali makamu wa Rais Moi
aapishwe kuwa Rais baada ya Kenyatta kufariki akiamini kabisa Moi atakuwa 'Rais asie na nguvu na yeye atakuwa ndo de facto President' huku akisubiri timing tu 'awe Rais kamili'...

Baba yake mzazi Njonjo alimpa mfano mwanae Charles....kwa kuwarushia paka vipande vya nyama..
halafu akamwambia 'je unaweza kuwanyanga'nya hawa paka hivi vipande vya nyama'?

Jibu lilikuwa wazi kabisa...'haiwezekani'

Paka ukishampa nyama ndo basi tena,kumnyanga'nya sio shughuli nyepesi...lazima mkubali kuparuriwa na kujeruhiwa....

Huo ndo ukweli ......


Sasa mfano huu ndo unawakumba sasa wana CCM.....

wao waliamini mradi Rais ni mwana CCM tu mwenzao basi chama ndo kitakua na nguvu
na sauti ya mwisho.....na Rais atadhibitiwa na chama.....wao chama hata kifanyaje ni sawa

Lakini sasa tunashuhudia kumbe ni tofauti ....hata ukiwa mwana CCM unaweza
kuwa 'arrested' kwa kuwa tu na mawazo tofauti...

na kumbe mtu mmoja anaweza kufanya 'analotaka' na chama kisimfanye lolote
nidhamu ya woga ikatawala........hatimae wale waliompa Paka vipande vya nyama...
wanagundua ukweli mchungu......Paka keshakamata nyama...na mwenye ubavu wa kumnyang'anya ajitokeze...............alisema Nyerere 'Kigumu chama cha Mapinduzi'...

Yes, ya Charles Njonjo ni ya kweli kabisa na mimi ni mmoja wa mashahidi kipindi hicho tukiwa Nairobi Kenya kwa shuhuli zetu za kizalendo! Long live President Dr Magufuli, usikubali wanachama waliolewa madaraka ndani ya chama tawala, chama chako, wakuburuze. You are in procession of the Machette and the Hammer/hoe do the needful, play your part skillfully with integrity! The hyenas within and outside CCM are crying and lamenting and the common people are with you!
 
Hii story ya Paka akipewa nyama huwezi kumnyang'anya tena,inanikumbusha ndugu yetu Lowassa maana baada ya kukaribishwa chadema na kupewa nafasi ya kugombania urais sidhani kama mbowe ataweza kumzuia kugombania urais kwa kipindi kingine maana now lowassa baada ya kupewa nyama anataka kuwa ndio mwenye sauti Ndani ya Chama. Imefikia hatua hata kwenye vikao vya kamati kuu lowassa ndio wa mwisho kuingia na wa kwanza kutoka.
Kweli Paka akipewa nyama...........
 
Paka anakuwaga mnyonge sana pale anaposubiri umrushie kipande cha nyama
sasa ukismrushia nenda jaribu kumnyang'anya ndo utamjua vizuri
Napenda style yake ya kudubiria. Anakali chini kwa utulivu huku miguu yake ya mbele kaiweka tayari kudaka anachorushiwa
 
Magufuli anatoa maswali ya kila aina

maswali kwa watanzania..

maswali kwa wana CCM

maswali kwa katiba tuliyonayo

maswali kwa wasomi na kadhalika

Sikutegemea mtu kama Ayubu Rioba kupokea 'amri na maagizo' kutoka kwa mtu kama Paul Makonda
but it is happening.....
Si hayo tu yapo mengi.

Nakumbuka siku za mwanzo tukibishana kuhusu mwelekeo wa awamu ya tano na kinara wake. Si wengi wenye ujasiri wa kusema ulikuwa sahihi kwa sehemu kubwa wakati sisi kwa lugha ya mitaani "tulibugi". Faraja yangu pekee ni kusema nothing is cast in stone.

Mzee Mwanakijiji kaziita "distractions" za JPM. Hamna kitu kama hicho. Limeishavunda. Tukubali ukweli. Tulichofikiria imekuwa tofauti kabisa.

The man has become the LAW onto himself. Yeye kawa mahakama na Bunge pia. Report ya CAG mwaka huu, italeta sunami. Wizara kutumia 200% ya budget yake!
 
Hakuna aliejua kama Mh Magu akipewa uwenyekiti atafanya mapinduzi ndani ya chama chao.
,Hakuna aliejua Magu atabadirisha katiba ya chama kwa kupunguza wajumbe zaidi ya theruthi,na huku wanaopunzwa wakimshangilia.
Na walipongaka akina Njonjo (Bashe,Msukuma) hakusita kuwakabidhi kituo cha polisi wasimjaribu, next time atawasahau gerezani.
Magu anajua udhaifu wa wabunge wa CCM hata alivyowachimbia mkwala mzito huko Chimwaga alijua tiyari wameongezewa kiwewe,hofu,wameishafyata mkia.
Mapinduzi yameishatua Chama Cha Mapinduzi.
 
Mi nikitazama mambo yanayoendelea nchi hii kwa sasa kuna muda natamani kutafuta uraia wa Uzbhekstan
hauna ndugu huko,nifikie siku mbili tatu?
 
Back
Top Bottom