kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 497
Mikakati mikali ya kutokomeza element zote za Chadema aka Magwanda zimeanza kila kitongoji kwa wananchi wenye Mapenzi na Uzalendo na nchi hii kuhakikisha chadema na hasa Dr Kitila Mkumbo,kuhakikisha kuwa hawaruhusu jimbo hill linalokua kwa Kasi kimaendeleo halivurugwi na siasa za Fujo na chuki katika Iramba,
Wananchi kwa umoja wao wamedhamiria kuhalikisha Chadema haipati hata balozi ktk uongozi,tayari vitongoji wote wanapita nyumba kwa nyumba kulaani siasa za kuligawa taifa za chama hiki
Wananchi kwa umoja wao wamedhamiria kuhalikisha Chadema haipati hata balozi ktk uongozi,tayari vitongoji wote wanapita nyumba kwa nyumba kulaani siasa za kuligawa taifa za chama hiki