Wana CCM Iramba waja na Operation Chakaza Mkumbo(OCM)

Wana CCM Iramba waja na Operation Chakaza Mkumbo(OCM)

kingukitano

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
1,971
Reaction score
497
Mikakati mikali ya kutokomeza element zote za Chadema aka Magwanda zimeanza kila kitongoji kwa wananchi wenye Mapenzi na Uzalendo na nchi hii kuhakikisha chadema na hasa Dr Kitila Mkumbo,kuhakikisha kuwa hawaruhusu jimbo hill linalokua kwa Kasi kimaendeleo halivurugwi na siasa za Fujo na chuki katika Iramba,

Wananchi kwa umoja wao wamedhamiria kuhalikisha Chadema haipati hata balozi ktk uongozi,tayari vitongoji wote wanapita nyumba kwa nyumba kulaani siasa za kuligawa taifa za chama hiki
 
M4C inakuja huko huko, kitaeleweka. Mkumbo ni mtu mmoja, M4C ni nguvu ya umaa kuleta mabadiliko ya Fikra, Uchumi na Siasa.
 
Wananchi kwa umoja wao wamedhamiria kuhalikisha Chadema haipati hata balozi ktk uongozi,tayari vitongoji wote wanapita nyumba kwa nyumba kulaani siasa za kuligawa taifa za chama hiki

Nimefurahishwa sana juhudi zenu kukataa kutumia damu zenu kujengea vimada mahekalu, naombeni makamaradi wa Iramba nitafutie picha ya yule marehemu aliyeuwawa kwa mawe na wafuasi wa CHADEMA niiprint kwenye mabango makubwa ili muwaoneshe wananchi wa Iramba ushenzi wa chama hiki.
 
Walipiga kambi kona zote na akina mnyika,njoooni mpate adabu
 
Nimefurahishwa sana juhudi zenu kukataa kutumia damu zenu kujengea vimada mahekalu, naombeni makamaradi wa Iramba nitafutie picha ya yule marehemu aliyeuwawa kwa mawe na wafuasi wa CHADEMA niiprint kwenye mabango makubwa ili muwaoneshe wananchi wa Iramba ushenzi wa chama hiki.

Chief Nduka nakuahidi utaipata picha ya mzalendo aliyeuawa na hawa Freemason
 
Jana tuliambiwa kuwa Dr. Kitilya Mkumbo si CHOCHOTE wa LOLOTE huko Iramba, hata KIJIJINI kwake hakubaliki.

Sasa hii Operation Chakaza Mkumbo (OCM) ni ya nini kwa mtu ambaye si chochote? Mbona sasa inaonekama kama Mwigulu unatumia KIFARU kua SISIMIZI?

BTW, hivi huko Iramba MABALOZI wa NYUMBA KUMI huwa wanachaguliwa na wananchi? Just Thinking aloud
 
Iramba ni yawairamba na kwa hakika hata movement for chaga Iramba haiwezi kufua dafu. Mkumbo Hana chake namimi nipo kata ya Mtoa nikiratibu hii operation nikianzia nyumbani kwake Mkumbo hapa Mgela....hatulali wapenda Amani wapo kata zote 17. Mi ndio mratibu mkuu wa operation hii....viva CCM
 
Comrade Shelui huku kaselya,nsonga na maeneo tote ya kinampanda watakuwepo Lunzu,tumeapa hatulali mpaka hawa wauaji waache kabisa kutugawa watanzania
 
Mmeanda shillingi ngapi? vijana wangapi wa dar mtawapeleka?
 
Tunataka Mkumbo achakazwe kabisa na chama chake CDM. Hatulali hadi tukizike kabisa CDM Iramba........kingukitano endelea kusimamia Maeneo ya Kaselya,nsonga, mberekese na ndulungu. Che Makala akiratibu Maeneo ya misigiri na Ulemo. Na kitundu akiratibu doromoni, ntwike na kidaru. Viva CCM
 
Tumechoka kuona taifa linagawika kisa Movement for Chaga inataka madaraka,sasa kwa hakika vijana wamehamasika kila kata
 
Mikakati mikali ya kutokomeza element zote za Chadema aka Magwanda zimeanza kila kitongoji kwa wananchi wenye Mapenzi na Uzalendo na nchi hii kuhakikisha chadema na hasa Dr Kitila Mkumbo,kuhakikisha kuwa hawaruhusu jimbo hill linalokua kwa Kasi kimaendeleo halivurugwi na siasa za Fujo na chuki katika Iramba,

Wananchi kwa umoja wao wamedhamiria kuhalikisha Chadema haipati hata balozi ktk uongozi,tayari vitongoji wote wanapita nyumba kwa nyumba kulaani siasa za kuligawa taifa za chama hiki

Ama kweli wahenga walisema "Kipenda Roho hula nyama mbichi" bila kujali kama ina tegu au minyoo mingine hatari. Hongereni wana Iramba. Mnakula nyama mbichi mkidhani kuwa inawaletea "afya" (maendeleo) kumbe "tegu" (umaskini)
mtindo moja. M4C ninawaomba nendeni Iramba, watu wetu wanaangamia kwenye umaskini kwa kukosa wa kuwasaidia.
 
Hivi kwa nini Iramba ni moja ya wilaya masikini sana hapa Tanzania?
 
Msiwe na wasi wasi tuna zidi kuwa fagia na tumewabana kwenye kona ya iramba, tunakuja...Siku wana iramba wakijua ujinga waliyo bebeshwa watajuta.. tutakuja kuwafunua macho na ubongo
 
Kama mnafikiri Chadema ni Mkumbo mmepotea.

Na kama mnafikiri wanyiramba ni wepesi njooni wote mkae mwaka mzima muone,wanyiramba sio wepesi,mnajifanya mnakomboa watu,tuambieni tundu lisu amekomboa nini singida,msigwa amekomboa nini iringa,sugu amegkomboa nini mbeya,Lema amekomboa nini Arusha,Mnyika amekomboa nini Ubungo,wote wachumia tumbo
 
Back
Top Bottom