Wana CCM hatimaye "confidence" imekata

Wana CCM hatimaye "confidence" imekata

Mwenyekiti amepaniki. Sasa hivi kila mtu anamuona ni adui yake. Hajiamini kabisaaa!.
 
Mwenyekiti amepaniki. Sasa hivi kila mtu anamuona ni adui yake. Hajiamini kabisaaa!.
Ushauri was bure,wanaojua wamemshauri vibaya kwa maslahi binafsi wajitokeze wenyewe ili kumrahisishia kazi,mwisho watampa pressure bure.
 
Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23) MIAKA 60 YA UHURU.

CCM imetufikisha hapa
Hebu ngoja kidogo. Inamaana ile tulioambiwa kuwa tuko kati ya nchi zenye uchumi wa kati ilikuwa change la macho?
 
Watanzania mniombee! huwa anaugonjwa gani? Pepo gani, ama huwa ako na dhambi gani za kumfanya akae anaombewa ombewa?
 
Ata huku mtandaoni ninaona CCM imekata pumzi!
Ili uweze kuishabikia CCM lazima uwe na upungufu wa akili!
 
lee van cliff,
Sasaivi wanafanya operesheni ya kushikana uchawi huko. Ni kutishana kumalizana tu na kuongelea usaliti 😂😂😂😂

Eti kuna kumuhujumu mwenyekiti?? Kumbe mwenyekiti anajihujumu mwenyewe kwa mdomo wake mchafu, roho mbaya na tabia zake za kuwaona wengine wote takataka kwa sababu yeye ndio Rais!
Lord Denning
Nakufuatilia Sana Mkuu,Ni kwamba una maono Sana.
Ila ukae ukijua kuwa mwaka huu kutatokea usaliti mkubwa Sana ndani ya CCM,system,dola na serikalini dhidi ya Dikteta Jiwe.
Na anakwenda kuangushwa mazima.watu wamemchoka haraka mno.
 
Huwezi amini, kwa ninachokiona, kukisikia na kukihisi Juu ya wana CCM hapa nchini kwa kipindi hiki cha kampeni.

Ni kwamba ile confidence amabayo huwa wanakua nayosasa hivi haipo tena, imekata.

Hawa jamaa walikua wakijiamini kila kipindi cha uchaguzi kuwa wanaenda kushinda kwa kishindo, lakini Sasa hivi wamejwa na hofu, mashaka na kitete.

Hata mkuu wao mwenyewe alisikika juzi kaati hapa kuwa watapiga kampeni kitanda kwa kitanda.

Huku chini wafuasi wao konfidensi yao imebaki kwa NEC na ZEC tu, u Jecha. Lakini zaidi ya hapo hawana confidence tena kama ilivyokua zamani.

Kibaya zaidi ni jinsi Lisu anavyopiga biti kiwa Safari hi haibiwi mtu kura, na aina yoyote ya dhuluma itakutana na mrejesho stahiki na mkali sana.

Sababu nyingine ni Jumuiya za kimataifa na Taasisi kubwa kubwa na ndogo kupaza sauti zao ili Uchaguzi uwe huru na wa haki.
Sababu nyingine ni harufu kali ya uasi ndani ya CCM. Safari hii kutatokea Uasi mkubwa mnoambao haujawahi kutokea.

Vijana wanaoipigania Chadema na Upinzani kusaidia kudukua taarifa muhimu kuhusu Uchaguzi.

Kubwa kuliko yooote ni aina ya mgombea mmoja wa upinzani Ndg Lissu kuwa na uwezo wa kujenga hoja, kuelimisha, kushawishi na kuongea. Huyu bwana amewakatisha tamaa kabisa CCM. Vijihoja wanavyovitoa kupambana nae ni vyepesi mno.

Lakini mwisho wa yote Rais anaemaliza muda wake amewaangusha Watanzania sana. Yeye amajiweka kama waziri was ujenzi badala ya Raisi wa nchi.

Aisee CCM wamakata confidence, macho Yao yote kwa NEC na ZEC na Vyombo vya Dola.

Ila sio kila mission hufanikiwa.
Fly over vipi nilimuona yule mzee waliye msafisha kwa dodoki akili zake ameshikilia bango la ndege 'brain washing'
 
Juzi nilmisikia Mwenyekiti wa CCM akiwaambia Wanafunzi wa Shule za msingi pale Nyakanazi kuwa wasisahau kumpigia kula ifikapo Septemba28 nikasema CCM wamechanganyikiwa kabisa hahahahaa!!
Daah
 
Back
Top Bottom